Visa vilivyowahi kunitokea maishani

We mwanamke..
1. Ana miaka 40
2. Ana masters
3. Ana mtoto.

Kwanini anagawa hivii?
Huko kazini kwani hawezi kupata wake ukatulia..??

UKIMWI upo na UNAUA..!!!

#YNWA

Wrote from Anfield..!!
 
We mwanamke..
1. Ana miaka 40
2. Ana masters
3. Ana mtoto.

Kwanini anagawa hivii?
Huko kazini kwani hawezi kupata wake ukatulia..??

UKIMWI upo na UNAUA..!!!

#YNWA

Wrote from Anfield..!!


Tatizo umesoma hujanielewa hasaaa....umeona nimegawa kwa wanume wa ngapi? huyo mmpja tulikubaliana ndio awe wa kudumu, sasa akaingia mitini.
na wengi hamjanielewa mnafikiri nagawa tu...someni vizuri mnielewe.
Huko kazini sijavutiwa nao, na wa mitaani sijavutiwa nao pia.
 
kwa hiyo ulisha wahi kutorokwa lodge utakuwa una shombo ww
 
Utasakamwa sana na Watakatifu ila mimi najua kila mtu ana maisha yake ya upande wa pili.
 
Yani point namba nne imeniacha hoi

Asa kwanini aliingiza akatoa akaaga kwenda kula hakurudi?ama ndio zile kashfa zao za pussy kunuka?
Ila ww mdada unanichekeshaga yani uandishi wako kama vile mtu ninayemfahamu πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…