Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Wizara ya Afya Uganda imetangaza ongezeko la Wagonjwa 21 wote wakiwa raia wa Uganda na wamepatikana baada ya sampuli 1,071 kupimwa katika mipaka ya nchi hiyo
Wagonjwa hao wamepatikana katika mipaka ya Elegu (Visa 17) na Mutukula (Visa 3) na Malaba (Kisa 1). Pia, sampuli 253 za kutoka katika mitaa ya Uganda zimepimwa na kukutea hazina maambukizi
Aidha, Wizara hiyo imetoa tahadhari kuhusu taarifa potofu inayohusu Madereva 105 wa Malori waliokutwa na maambukizi iliyotolewa jana na akaunti ya Mtandao wa Kijamii uliojifanya kuwa Wizara ya Afya. Imetahadharisha kuwa jana haikutoa taarifa za #COVID19
Wizara imesisitiza kuwa madereva wote watakaoingia #Uganda watapimwa na Madereva wageni wataokutwa na maambukizi watarudishwa nchini kwao na Waganda watapelekwa katika Vituo mbalimbali vya Afya nchini humo
Wagonjwa hao wamepatikana katika mipaka ya Elegu (Visa 17) na Mutukula (Visa 3) na Malaba (Kisa 1). Pia, sampuli 253 za kutoka katika mitaa ya Uganda zimepimwa na kukutea hazina maambukizi
Aidha, Wizara hiyo imetoa tahadhari kuhusu taarifa potofu inayohusu Madereva 105 wa Malori waliokutwa na maambukizi iliyotolewa jana na akaunti ya Mtandao wa Kijamii uliojifanya kuwa Wizara ya Afya. Imetahadharisha kuwa jana haikutoa taarifa za #COVID19
Wizara imesisitiza kuwa madereva wote watakaoingia #Uganda watapimwa na Madereva wageni wataokutwa na maambukizi watarudishwa nchini kwao na Waganda watapelekwa katika Vituo mbalimbali vya Afya nchini humo