beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Wizara ya Afya imethibitisha visa vipya vya #COVID19 na maambukizi yamefikia 705 huku idadi ya waliopona ikiwa 299
Katika visa hivyo, watano aliokuwa karibu na wagonjwa ambao tayari wamethibitishwa na wanne ni madereva wa malori waliotokea Sudani Kusini (2) na Kenya (2)
Aidha, madreva 37 waliokutwa na #CoronaVirus wamerudishwa nchini kwao. Kati yao 32 ni Wakenya, 3 ni wametokea Sudani Kusini, 1 ni raia wa Eritrea na mmoja ni Mtanzania
Wizara pia imezungumzia kuhusu dereva raia wa Kenya aliyekutwa amefariki Jumamosi iliyopita (13 Juni 2020) ndani ya lori wilayani Busia. Marehemu alipimwa na majibu yameonesha hana COVID19
Wizara ya Afya imeendelea kusisitiza kuwa #Uganda haijarekodi kifo cha Corona hadi sasa
Katika visa hivyo, watano aliokuwa karibu na wagonjwa ambao tayari wamethibitishwa na wanne ni madereva wa malori waliotokea Sudani Kusini (2) na Kenya (2)
Aidha, madreva 37 waliokutwa na #CoronaVirus wamerudishwa nchini kwao. Kati yao 32 ni Wakenya, 3 ni wametokea Sudani Kusini, 1 ni raia wa Eritrea na mmoja ni Mtanzania
Wizara pia imezungumzia kuhusu dereva raia wa Kenya aliyekutwa amefariki Jumamosi iliyopita (13 Juni 2020) ndani ya lori wilayani Busia. Marehemu alipimwa na majibu yameonesha hana COVID19
Wizara ya Afya imeendelea kusisitiza kuwa #Uganda haijarekodi kifo cha Corona hadi sasa