#COVID19 Visa vya Corona vyafikia 1,040 baada ya wagonjwa 11 kutangazwa. Waliopona wafikia 984

#COVID19 Visa vya Corona vyafikia 1,040 baada ya wagonjwa 11 kutangazwa. Waliopona wafikia 984

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Wizara ya Afya imethibitisha visa vipya 11 baada ya kupima sampuli 2,575 na jumla ya walioambukizwa Virusi hivyo nchini humo imefikia 2,040

Aidha, nchi hiyo pia imewarudisha madereva wa malori 27 ambapo kati yao 23 ni Wakenya, 2 wametokea Congo na 2 ni raia wa Tanzania baada ya vipimo kuonyesha wana maambukizi ya CoronaVirus

Tangu kuanza kwa mlipuko wa Corona, Uganda imepina sampuli 230,680 na wagonjwa walipona hadi sasa ni 984

1594724771317.png
 
Back
Top Bottom