beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Wizara ya Afya yarekodi visa vipya 40 vya COVID19 nchini humo na idadi ya maambukizi hadi sasa ni 457, Wagonjwa wapya wote ni raia wa Uganda.
23 kati yao ni madereva wa malori waliotokea Sudan Kusini (20), Tanzania (2), na mmoja aliyeingia nchini humo kupitia mpaka wa Padea. Aidha, 17 waliosalia ni watu waliokuwa karibu na wagonjwa ambao tayari wamethibitishwa.
Wizara pia imesema madereva 31 ambao ni Wakenya-19, Watanzania-11 na mmoja kutoka Eritrea walikutwa na maambukizi ya CoronaVirus na kurudishwa katika nchi zao.
23 kati yao ni madereva wa malori waliotokea Sudan Kusini (20), Tanzania (2), na mmoja aliyeingia nchini humo kupitia mpaka wa Padea. Aidha, 17 waliosalia ni watu waliokuwa karibu na wagonjwa ambao tayari wamethibitishwa.
Wizara pia imesema madereva 31 ambao ni Wakenya-19, Watanzania-11 na mmoja kutoka Eritrea walikutwa na maambukizi ya CoronaVirus na kurudishwa katika nchi zao.