Visa vya Saratani ya Ini Kuongezeka kwa asilimia 55 ifikapo mwaka 2040

Visa vya Saratani ya Ini Kuongezeka kwa asilimia 55 ifikapo mwaka 2040

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Idadi ya watu wanaougua au kufariki kwa ugonjwa wa saratani ya Ini wataongezeka kwa hadi zaidi ya asilimia 55 ya kiwango cha sasa ifikapo mwaka 2040 iwapo jitihada za haraka hazitafanyika kuikabili changamoto hii.

Watu 905,700 walibainika kuwa na ugonjwa huu mwaka 2020 pekee huku wengine 830,200 wakifariki. Ripoti ya International Agency for Research on Cancer (IARC) imeainisha.

Ugonjwa huu unaotajwa kuwa mkubwa zaidi Mashariki na kusini Mashariki mwa bara la Asia pamoja na Kaskazini mwa Afrika unaweza kupunguzwa kwa kunywa pombe kwa kiasi, kuzuia magonjwa ya kisukari, homa ya Ini aina B na C pamoja na kudhibiti uzito wa mwili.

=====

The number of people who develop or die from liver cancer worldwide will increase by over 55 percent by 2040 unless more is done to fight the often preventable disease, researchers said Thursday.

Some 905,700 people were diagnosed with liver cancer and 830,200 died from the disease globally in 2020, according to a new analysis by scientists from the International Agency for Research on Cancer (IARC), an arm of the World Health Organization based in Lyon, France.

At the current rate, 1.4 million people will be diagnosed and 1.3 million will die from liver cancer by 2040, the analysis predicted.

That would mean an increase of 500,000 cases or deaths per year, "unless we achieve a substantial decrease in liver cancer rates through primary prevention," said IARC epidemiologist Harriet Rumgay, the study's lead author.

The study also found that liver cancer is one of the top three causes of cancer deaths in 46 countries -- and is in the top five in nearly 100 countries. Cases and deaths were highest in East and Southeast Asia as well as North Africa.

"Liver cancer causes a huge burden of disease globally each year," said study co-author Isabelle Soerjomataram.

"It is also largely preventable if control efforts are prioritised -- major risk factors include hepatitis B virus, hepatitis C virus, alcohol consumption, excess body weight, and metabolic conditions including type 2 diabetes," she said in a statement.

The grim 2040 prediction illustrates the need for progress against hepatitis B and C after being disrupted by the Covid-19 pandemic, the researchers said, urging more vaccination, testing and treatment.

Rumgay also called for "measures to reduce population alcohol consumption and curb the rise in the prevalence of diabetes and obesity".

Another IARC study recently suggested that 17 percent of liver cancer cases can be avoided by reducing alcohol consumption.

The team based their analysis on the IARC's GLOBOCAN 2020 database, which has incidence and death estimates for 36 types of cancer across 185 countries.

The analysis was published in the Journal of Hepatology.

MONITOR
 
Ni hatari sana, hizi pombe kali zinazouzwa mitaani zinamaliza watu
 
Vijana wanavagamia pombe Tu kama hawana akili hahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom