Visa vya wana wa israel (wayahudi) ndani ya Quran na yanayotokea leo..

Alie kufundisha Kwamba Ibrahim, Yakob ni wana Israel kakudanganya
 
Quran imeandika kuwa haya yaliyomo humu yalishakuwepo kwenye vitabu vya Ibrahim na musa.
 
Ht biblia inautabir na unatimia...kikubwa ujue mamlaka pope alianzisha uislam
 
Fanyeni kazi achaneni na siasa na kujipendekeza kwa miungu ya watu wengine.
 
Cyo kweli, kwanza hakukuwepo na kitabu kinacho itwa biblia, hivyo quran haikucopy kutoka kwenye biblia.

Kwa level yako inatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…