VISA ya China

GKM

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2012
Posts
738
Reaction score
328
Waungwana poleni na majukumu,,

Naamini wote wazima,..please naomba mwenye kujua namna rahisi ya kupata visa ya china, hasa kuhusu invitation letter ya kuambatanisha kwa safari ya kibiashara. Natanguliza shukrani.
 
Mie nakutolea visa na invitation latter fresh in two weeks. Visa period huwa ni one month. Ukitaka na hotel reservation pia nafanya
 
na wewe unataka kununua scania kama mimi?au unaenda kuchagua volvo?!

No..mie nlikua nataka hiyo ishu ya viza za ulaya..unajua kwa kwetu huku znz huwa wanazilipia visa mpaka dola elf3 per each..ila hawana bank statement.huwa wanataka kwa deals. Ndio mana nikakuambia nataka
 
Kama unataka ya Russia niambie nikupatie Invitation letter kwa dola elfu moja pamoja na copy na contact za aliyetoa mwaliko.

No..mie nlikua nataka hiyo ishu ya viza za ulaya..unajua kwa kwetu huku znz huwa wanazilipia visa mpaka dola elf3 per each..ila hawana bank statement.huwa wanataka kwa deals. Ndio mana nikakuambia nataka
 
Rassia life ngumu sana..inatakiwa visa na sio.invitation latter na hususan nchi za schenghein au scandnavianz country
 
Hahaha bongo kwa short cut. Kuna mkaka kwa $ 200 tu anakuandalia kila kitu hadi visa interview appointment. Na visa inatoka in a week, ama ukitaka fast tracking inatoka in three days. Ni pm nikutafutie namba yake
 
Mie nahitaji visa ya australia kwa mwenye ufahamu anisaidie.
 
No..mie nlikua nataka hiyo ishu ya viza za ulaya..unajua kwa kwetu huku znz huwa wanazilipia visa mpaka dola elf3 per each..ila hawana bank statement.huwa wanataka kwa deals. Ndio mana nikakuambia nataka
njoo dar nikukabidhi kwa mtu ambaye mkubaluane kila kichwa wewe yako ngapi na yeye akwambie anachukuwa ngapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…