Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Msaada,
Ndugu yangu amefanikiwa kupata schoolarship ya commonwealth dakika za majeruhi.
Shule inaanza 1/10/2013.
Leo ndio amepata all the docs kwa ajili ya application ya Visa.
Nimefahamu kwamba visa ya UK inaweza kuchukua hata 2 months.
vile vile, nilisikia kwamba visa ya UK unaweza kuipata kwa wiki moja.
Tafadhali naomba mwongozo wa nini cha kufanya and all the process ili aweze kupata visa kwa muda mfupi iwezekanavyo ili asichelewe kuanza masomo.
asante sana
Kutoka hapo ulipo na kwenda ubalozi wa Uingereza inakuchukuwa muda gani?
Nipo vijiji vya Kasulu, Kigoma.
Will take me about 4-5 days.
Na bado sina hakika kama nitawahi visa section ikiwa wazi.
I hope I have answered correctly.
Mwambie ndugu yako aende ubalozi wa Uingereza physical, siyo kila kitu unaweza kusolve online. Kimsingi ameshachelewa ila inategemea na busara za consular.
Wenzetu joining date kwao inamata sana.
Nliskia wangereza unaeza ku-fasttrack visa ukiongeza ela 'kidogo'..sasa hebu nenda ubalozini ukasikie kwa masikio yako mwenyewe.