Visasiri, Upande wa tatu wa noti(banknote).

Visasiri, Upande wa tatu wa noti(banknote).

Smartkahn

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2020
Posts
594
Reaction score
1,061
FB_IMG_1739557906558.jpg

Peace||amani iwe nawe ✌🏾


Achana na ule upande wa pili wa Shilingi(sarafu), noti 💵 inapande tatu ukiachana na zile mbili zinazofahamika.

Upande wa tatu wa noti una picha au alama iliyowekwa na kudezainiwa kwa ustadi wa hali Ya juu kiasi kwamba unaweza usiitambue hiyo alama au usijue kama kwenye noti flani kuna picha ya buibui maisha yako yote.

Na maranyingi hizi alama huwa hazieleweki ziko upande upi wa noti hiyo, alama nyingine ni mpaka uinamishe au uelekeze noti katika mwanga flani ndio zinadhihilika.

Sasa kila nchi ina Fedha yake na hizi alama kitaalamu; banknote, zinatofautiana kati ya nchi na nchi pia thamani ya noti na noti.

Moja ya sababu ya kuunda banknote ni kuzuia utengenezaji wa Fedha bandia.

Hii ni intro ya uchambuzi wa siasa za kikanda na intelligensia nyuma ya migogoro ya kisiasa katika kanda mbalimbali....

Subiri muendelezo.

Karibu.

Kujazia nyama kidogo kwa vielelezo.

Katika noti ya dola 1 kuna buibui, kwa wenye noti ya dolla unaweza ukachunguza.
_20250215_101108.JPG
_20250215_101039.JPG
_20250215_101015.JPG


Hii hapa chini ni noti ya CANADA 🍁 Wanasema kuna taswira ya devil shettani kwenye nywele za Malkia
_20250215_101131.JPG
_20250215_101158.JPG


Unaweza ukaongezea na wewe alama unayoijua ambayo imejificha katika noti fedha ya nchi yoyote.
 
Achana na ule upande wa pili wa Shilingi(sarafu), noti 💵 inapande tatu ukiachana na zile mbili zinazofahamika.

Upande wa tatu wa noti una picha au alama iliyowekwa na kudezainiwa kwa ustadi wa hali Ya juu kiasi kwamba unaweza usiitambue hiyo alama au usijue kama kwenye noti flani kuna picha ya buibui maisha yako yote.

Na maranyingi hizi alama huwa hazieleweki ziko upande upi wa noti hiyo, alama nyingine ni mpaka uinamishe au uelekeze noti katika mwanga flani ndio zinadhihilika.

Sasa kila nchi ina Fedha yake na hizi alama kitaalamu; banknote, zinatofautiana kati ya nchi na nchi pia thamani ya noti na noti.

Moja ya sababu ya kuunda banknote ni kuzuia utengenezaji wa Fedha bandia.

Hii ni intro ya uchambuzi wa siasa za kikanda na intelligensia nyuma ya migogoro ya kisiasa katika kanda mbalimbali....

Subiri muenelezo.

Karibu.
Nilisoma ile documentary kuihusu dollar, mpaka nimeogopa
 
Migogoro mingi ya kikanda kuanzia waasi(MXXIII) na magaidi (Babu wa Arusha) etc inakuaga inachanganya/haieleweki wengine lengo halieleweki, wengine haijulikani wanapata wapi nguvu ya kusumbuana na serikali mda mrefu, sasa hii sintofahamu na usiri ndio banknotes zenyewe.

Sasa uchambuzi huu ni mawazo binafsi na uelewa wa jumla wa mambo ya siasa diplomasia na intellijensia.

Kwa lugha rahisi uchambuzi usiokua na fact halisi(zisizothibitishwa) kuamini au kutokuamini ni juu yako.

Jambo linaweza kua moja ila kila mmoja atalitizama kwa mtizamo wake, sasa mimi nitakuja na mtizamo wangu, wa ki-banknote, kama nawewe utakua na mtizamo tofauti katika katika diplomasia na siasa za kikanda karibu kwa mchango wako.

Ni tofauti ya kimtizamo tu|||Difference in perspective.
FB_IMG_1739557744939.jpg



Njoo tutafute banknotes/ zilizojificha katika upande wa tatu wa notes (siri zilizonyuma ya migogoro mbalimbali kama vile MXXIII.

BANKNOTE 01 ||VISAIRIS (I)............
 
Namna hiyo! hii documentary imeshiba na imechambuliwa vyema kabisa.

Jinsi utundu na ubunifu waliotumia kuunda Fedha, alama na mambo mazito ya siri na namna walivyo ya-code, lazima ustaajabu
Kabisa.
Ndio mana nilipoona mada yako nikakumbuka hii docu ambayo nilishawahi isoma
 
Back
Top Bottom