Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 993
Wakuu,
Nilikuwa nasikiliza kipindi cha njiapanda clouds fm siyo muda, mwishoni mwa kipindi akaingia Dr Rahabu yule mgunduzi wa dawa ya kutibu vidonda vya tumbo ambaye kwa sasa anapatikana ubungo plaza na si buguruni tena.
Dr ametoa angalizo kwa wagonjwa wanaoenda kupima vidonda vya tumbo hospitalini kwenda moja kwa moja dirishani kwakuwa imejitokeza VISHOKA ambao huwapokea wagonjwa juu kwa juu wafikapo maeneo ya hospitali na kuwapima huko pembeni na kuwapa majibu hawana au wanavyo bila kuwa na uhakika!!!
Haya jamani vishoka mpaka hospitalini
Nilikuwa nasikiliza kipindi cha njiapanda clouds fm siyo muda, mwishoni mwa kipindi akaingia Dr Rahabu yule mgunduzi wa dawa ya kutibu vidonda vya tumbo ambaye kwa sasa anapatikana ubungo plaza na si buguruni tena.
Dr ametoa angalizo kwa wagonjwa wanaoenda kupima vidonda vya tumbo hospitalini kwenda moja kwa moja dirishani kwakuwa imejitokeza VISHOKA ambao huwapokea wagonjwa juu kwa juu wafikapo maeneo ya hospitali na kuwapima huko pembeni na kuwapa majibu hawana au wanavyo bila kuwa na uhakika!!!
Haya jamani vishoka mpaka hospitalini