Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Gazeti la Mwananchi limeripoti kuwa, ofisi za umma zimesheheni vishoka, na hii imekuwa ikijidhihirisha hasa kwenye mambo ya ajira.
Ajira zinatangazwa kwa mfano TAMISEMI au Utumishi lakini kuna watu wanaambiwa leta vyeti na kiasi flani cha pesa halafu tulia wewe utapigiwa simu tu au utalikuta jina lako kwenye notice board.
Ombi langu ni kuwa, ni muda mzuri sasa serikali ya Watanzania kuwashughulikia vishoka. Madhara yapatikanayo kwa kuwepo vishoka kwenye ofisi za umma ni kama ifuatavyo:
kwa leo niishie hapa.
Ajira zinatangazwa kwa mfano TAMISEMI au Utumishi lakini kuna watu wanaambiwa leta vyeti na kiasi flani cha pesa halafu tulia wewe utapigiwa simu tu au utalikuta jina lako kwenye notice board.
Ombi langu ni kuwa, ni muda mzuri sasa serikali ya Watanzania kuwashughulikia vishoka. Madhara yapatikanayo kwa kuwepo vishoka kwenye ofisi za umma ni kama ifuatavyo:
- Kumnyima haki na nafasi aliyesahihi na kumpa asiyesahihi kwa sababu tu asiyesahihi ana ukaribu na kishoka.
- Kuleta urasimu katika baadhi ya mambo muhimu.
kwa leo niishie hapa.