Sawa,hao wanaotakiwa ku-visit hata wakija huku chanika watakuwa wame Visit Tanzania hongereni kwa kumaliza kila kitu huku mkitapatapa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Hapa nzuri ingekuwa visit Tanzania maana Kilimanjaro na Zanzibar vipo ndani Tanzania ,ukisema visit Tanzania ina maana umemaliza kila kitu . Ndani ya Tanzania kuna Kilimanjaro,Zanzibar ,Mikumi ,Selous ,Ngorongoro ,Serengeti n.k
Halafu Tangazo kwa mechi moja tu ya kimataifa haina mantiki kabisa wangeweka nguvu uwanjani.
Sijui baada ya jumapili itavaliwa wapi.View attachment 1942205
Hujui kwamba mlima Kilimanjaro ni maarufu kuliko nchi ya Tanzania?Hapa nzuri ingekuwa visit Tanzania maana Kilimanjaro na Zanzibar vipo ndani Tanzania ,ukisema visit Tanzania ina maana umemaliza kila kitu . Ndani ya Tanzania kuna Kilimanjaro,Zanzibar ,Mikumi ,Selous ,Ngorongoro ,Serengeti n.k
Halafu Tangazo kwa mechi moja tu ya kimataifa haina mantiki kabisa wangeweka nguvu uwanjani.
Sijui baada ya jumapili itavaliwa wapi.View attachment 1942205
Mechi ya Rivers vs Yanga ni saa 18:00 , Je mechi ya Simba itakuwa saa ngapiHata hivi hao ATCL hawajafikiria.
Yaani mfano timu ipo dakika ya 87 na matokeo ni 0:0 halafu wewe unaomba OVER 1.5.
Si bora utafute timu ambazo zipo first half huko yaani simba!
Mkuu hayo mambo ni kawaida usibishe Ronaldo ni maarufu kuliko nchi yake Ureno....ndo maana wanaojua marketing wana tumia jina la Ronaldo sio jina la nchi yake UrenoIla Kilimanjaro iko wapi?
Makundi yapi wanaenda??? Wenzio wanajua wanaishia hapo kesho
Time INA mechi moja ya kimataifa eti inafanya utalii utopolo bhanaHapa nzuri ingekuwa visit Tanzania maana Kilimanjaro na Zanzibar vipo ndani Tanzania ,ukisema visit Tanzania ina maana umemaliza kila kitu . Ndani ya Tanzania kuna Kilimanjaro,Zanzibar ,Mikumi ,Selous ,Ngorongoro ,Serengeti n.k
Halafu Tangazo kwa mechi moja tu ya kimataifa haina mantiki kabisa wangeweka nguvu uwanjani.
Sijui baada ya jumapili itavaliwa wapi.View attachment 1942205
Sure ni aibu kwa TaifaMakundi yapi wanaenda??? Wenzio wanajua wanaishia hapo kesho
Ni aibu kwa TaifaHata hivi hao ATCL hawajafikiria.
Yaani mfano timu ipo dakika ya 87 na matokeo ni 0:0 halafu wewe unaomba OVER 1.5.
Si bora utafute timu ambazo zipo first half huko yaani simba!
Duh point makiniHapa nzuri ingekuwa visit Tanzania maana Kilimanjaro na Zanzibar vipo ndani Tanzania ,ukisema visit Tanzania ina maana umemaliza kila kitu . Ndani ya Tanzania kuna Kilimanjaro,Zanzibar ,Mikumi ,Selous ,Ngorongoro ,Serengeti n.k
Halafu Tangazo kwa mechi moja tu ya kimataifa haina mantiki kabisa wangeweka nguvu uwanjani.
Sijui baada ya jumapili itavaliwa wapi.View attachment 1942205
Nani Kawashauri Hivi Hawa Yanga[emoji3064][emoji3064][emoji3064]View attachment 1943708
Leta vyenye mantiki mkuu, unapo kuwa tofauti anza na ushauri siyo kupinga kilichopo, kwani Kilimanjaro na Zanzibar ukivihitaji utavipata wapi wanajua.Hapa nzuri ingekuwa visit Tanzania maana Kilimanjaro na Zanzibar vipo ndani Tanzania ,ukisema visit Tanzania ina maana umemaliza kila kitu . Ndani ya Tanzania kuna Kilimanjaro,Zanzibar ,Mikumi ,Selous ,Ngorongoro ,Serengeti n.k
Halafu Tangazo kwa mechi moja tu ya kimataifa haina mantiki kabisa wangeweka nguvu uwanjani.
Sijui baada ya jumapili itavaliwa wapi.View attachment 1942205