kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Wanasimba na Watanzania kiujumla ni kama tumepitishwa kwenye mlolongo wa matukio kadhaa kutoka klabu yetu andamizi kwa muda mfupi.
Kwa lugha iliyokuja na meli matukio haya tungeita 'Surprises. Mara Simba Super Cup na sasa Visit Tanzania. Ukiangalia bila kuweka ushabiki yote ni Ubunifu unaohitaji utulivu fulani wa akili.
Kikubwa kingine ni timely approach ya kila Ubunifu. Kumbe Tz wa mama wenye uwezo wapo wengi ie Samia Suluhu, Tulia Ackson na sasa kwenye soka anajichomoza nguli mwingine Barbra Gonzalez CEO wa Simba.
Aah pokea pongezi mama!
Kwa lugha iliyokuja na meli matukio haya tungeita 'Surprises. Mara Simba Super Cup na sasa Visit Tanzania. Ukiangalia bila kuweka ushabiki yote ni Ubunifu unaohitaji utulivu fulani wa akili.
Kikubwa kingine ni timely approach ya kila Ubunifu. Kumbe Tz wa mama wenye uwezo wapo wengi ie Samia Suluhu, Tulia Ackson na sasa kwenye soka anajichomoza nguli mwingine Barbra Gonzalez CEO wa Simba.
Aah pokea pongezi mama!