Visiwa vya Dar es salaam ni Mali iliyolala

Visiwa vya Dar es salaam ni Mali iliyolala

Zanzibar-Nyamwezi

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
1,244
Reaction score
766
Kwanini serikali yetu haijaetaka kuwapa serious Tour Operator wajenge mahoteli katika visiwa mbele ya Jiji la Dar? Kuna ujenzi usioharibu mazingira na ajira nyingi za wa Tanzania.
 
Kwanini serikali yetu haijaetaka kuwapa serious Tour Operator wajenge mahoteli katika visiwa mbele ya Jiji la Dar? Kuna ujenzi usioharibu mazingira na ajira nyingi za wa tanzania.

Mkuu umepitwa,hivyo mbona vina wenyewe,kuna Bongoyo na Mbudya watu huwa wanaenda huko,kingine kipo upande wa kigamboni nilipata fununu kuwa Kusaga wa Clouds kapewa kukifanyia biashara
 
Kwanini serikali yetu haijaetaka kuwapa serious Tour Operator wajenge mahoteli katika visiwa mbele ya Jiji la Dar? Kuna ujenzi usioharibu mazingira na ajira nyingi za wa tanzania.

Kweli mkuu hujui kuwa visiwa vyote vimejaa? Hivyo alivyotaja jamaa hapo juu tayari vina biashara za watu, hivi vingine ni makazi ya watu, kama Tabata Kisiwani kumejaa, Mwananyamala Kisiwani kumejaa kabisa !!!!!!!!!!.
 
Kweli mkuu hujui kuwa visiwa vyote vimejaa? Hivyo alivyotaja jamaa hapo juu tayari vina biashara za watu, hivi vingine ni makazi ya watu, kama Tabata Kisiwani kumejaa, Mwananyamala Kisiwani kumejaa kabisa !!!!!!!!!!.
hata pemba ,mafia na unguja vimejaa
 
Hivi visiwa ni marine reserve ya taifa, viko chini ya Dar es Salaam Marine Reserves (DMR) ambayo imeanzishwa kisheria.
Google DMR utapata maelezo ya kina.
 
Hivi visiwa ni marine reserve ya taifa, viko chini ya Dar es Salaam Marine Reserves (DMR) ambayo imeanzishwa kisheria.
Google DMR utapata maelezo ya kina.
Mkuu nime google na visiwa vingine vyote maarufu ndani ya Tanzania na vivutio vya majini kwenye kila kisiwa, sikujua ya kuwa nyangumi wanakusanyika mafia kuja kuzaa na mambo mengine ya marine biology kwenye visiwa vingine.

Naona kama vile sisi ni mfano mzuri sana kama case study ya poor government creativity and management aiwezekani Taifa lenye almost everything na bado kuwa maskini duniani.
 
Mkuu nime google na visiwa vingine vyote maarufu ndani ya Tanzania na vivutio vya majini kwenye kila kisiwa, sikujua ya kuwa nyangumi wanakusanyika mafia kuja kuzaa na mambo mengine ya marine biology kwenye visiwa vingine.

Naona kama vile sisi ni mfano mzuri sana kama case study ya poor government creativity and management aiwezekani Taifa lenye almost everything na bado kuwa maskini duniani.

Lawama ni kwa serekali au ni kwa raia?
 
Lawama ni kwa serekali au ni kwa raia?
Hili si swala kujua ugumu wa kuku na yai kipi kimetangulia.

Serikari ina majukumu ya kujenga mazingira ie urahisi wa kutoka A to B, quality ya services za wageni; kuitambulisha Tanzania na vivutio vyake kwa sasa sababu ya msingi bado hatuna makampuni makubwa yenye uwezo kuitangaza Tanzania nje ya nchi aggressively au zilizo partners na conglomerates kuwasaidia na ku-target right customers (serikari yenyewe nayo aifanyi hivyo kimkakati washabiki wa sunderland na Tanzania wapi na wapi) au hata wakija what is the reason to return.

Upande wa raia na tour operators labda ni ubunifu wa kufanya combine tour operations, poor hospitality delivery (nimeona kwenye reviews za Bongoyo Islands wateja wanadhani there is much room for improvement), poor competitive ambitions to retain customers and lure new ones. The whole thing is a mess for the most part in Travel and tourism ni kwa sababu tu akina simba wapo wengi na kuonekana rahisi in Tanzania compared to the world hiyo ndio selling point (be it an automatic one) but no efforts at all, waziri wa maliasili na utalii kazi kutuonyesha mbwembwe na mkewe tu hakuna lolote la ziada.

But there is a lot to be done yaani hi ni sector ambayo imelala na serikari inabidi iamke, nimeona ndio sasa wameanza kuwaamsha watanzania watembelee vivutio vya ndani kwa mishahara ipi?
 
Back
Top Bottom