Visual Basic 2008 Turorials!!

Visual Basic 2008 Turorials!!

Given Edward

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2011
Posts
850
Reaction score
203
Kama unataka kujifunza visual basic bac post hapa uniambie unataka kujua nini specific!!
 
Kama unataka kujifunza visual basic bac post hapa uniambie unataka kujua nini specific!!

Mimi nataka
Visual basic ni nini? ina tofauti gani na C++ au C♯ na F
♯

aksante
 
Kama unataka kujifunza visual basic bac post hapa uniambie unataka kujua nini specific!!

Hongera kwa kujitolea kutoa darasa.
Lablda kuwarahishia kazi na kukuraishia kazi usipate maswali ya mzaha mzaha mwenye kupenda kujua VB wasome Kitabu cha sam Teach youself Visual basic in 21 days then wakiwa na maswali au kuna kitu hawajaelewa wakuletee. Au unasemaje mtaalam?

hata huyo zing ukitaka majibu uliyouliza google hicho kitabu kina pataikana bure online nimeshindwa kuki attach hapa sijui kwa nini
 
It's okay.....vile vile tunaweza kubadilishana tips and tricks and so on! N also kukurahisishia Zing ni kwamba VB iis different with C++ in many ways kutoka kwenye GUI(Graphical User Interface),Tools zake za Drag and Drop na pia VB inatumia User-Friendly Language kadri siku zinavyozidi kwenda e.g If.......Then, Me.Close or Form1.show, let me not get so deep but to me VB is so fun to work with. Baadaye Bac!:angel:
 
from dim memory VB is interpreted just like Csharp but Cpp is compiled. And Vb is windows only while Cpp and Csharp are Xplatiform note, Csharp is XP via mono implementation. Don't take me serious, I dumped VB back in 2007
 
It's okay.....vile vile tunaweza kubadilishana tips and tricks and so on! N also kukurahisishia Zing ni kwamba VB iis different with C++ in many ways kutoka kwenye GUI(Graphical User Interface),Tools zake za Drag and Drop na pia VB inatumia User-Friendly Language kadri siku zinavyozidi kwenda e.g If.......Then, Me.Close or Form1.show, let me not get so deep but to me VB is so fun to work with. Baadaye Bac!:angel:
Dah kweli unaipenda VB, maana baada ya kumpa differences za VB, C#, C++, na F#, umempa utam wa kutumia VB. Sio siri VB ni tam na straight to the point. Nilikua sijawahi itumia ila juzi nilipewa a database project nikawa restricted kutumia .NET technology, ikabidi nikaisome yani mwanzo mwisho you drag and drop, yani database iko portable mtu unaweka project kwenye flash unaenda kwenye computer nyingine na unakuwa na db yako na kila kilakitu, yani wewe nikubadilisha mistari miwili mitatu ya code basi... Microsoft's target is always user-friendliness
 
Nataka kujua how to code Log in Interface kwa user mbalimbali lets say 50.
Yaani ile window ya User Name______________
Password_______________
 
Tupe Website Mtazamaji, ili tudownload hicho kitabu kwa free, maana ukigoogle zinakuja nyingi na hujui ipi ndiyo inatoa free. Msaada tuani.
 
Mi binafsi ninavojua in lay man language tofauti ya hizo hapo ni

C ni language ambayo inatumia only the basics of programming, structures, functions, procedures. (imperative programming/functional programming/procedural programming. )Actually watu wengi wanaoanza kujifunza programming wanaanza na C programming. (ukiacha mlimani waliotuanzishia na PASCAL)

Java inatumia basics za programming lakini inaenda an extra mile. It programs every functionality into a class, So if you were programming an application for a an ATM, you had to come up with separate classes for; request for balance, request for cash withdrawal, request for receipt nk(ni mifano tu). badae unakua na main class ambayo itatumia hizo classes kwa mfumo inaotaka, by calling the classes using "objects". Hii ni muhim sana kwa sababu, hatutaki kila kukicha watu wawe wanadevelope the same functionalities, so siku nyingine mkitaka kudevelope application inayorequest receipts, mnaweza "reuse" ile ya ATM, so upto now so so many java classes exist (Hii inaitwa object oriented programming), wewe ukiwa unachapa code unaita tu zile classes therefore "not re-inventing the wheel". Pia Java is cross-platiform kama umesikia kuhusu JDK and JRE if you want you can google or ask me I can expalin that for you.

Haya sasa watu wa C walivoona kuwa classes zinaprovide sana portability upande wa java, they came up with C++, yaani having C that uses classes kama Java rather than functions and procedures. kwa hiyo ukitaka kutumia C with classes then use C++,

Sasa VB yenyewe ni programming language that was developed and owned by Microsoft, waliona watu wanakimbia sana programming, so wakaja na lugha "rahisi" in the way that you develope while "visualising your work" on forms, yani wewe unadrag labda textbox halafu unadrop kwenye form, unaongeza mistari michache tu then ur done. but it requres some runtime to process, ndo maana windows za siku hizi kama xp, vista, window 7, zinakuja teari na inbuilt runtime. ila pia ina features za classes.

C# on the other hand is still for these Microsoft giants but it combines the simplisity of VB and the robustiness of C++ programming. So iko object oriented pia, inatumika sana kwenye ".NET framework" Microsoft wamejitengenezea framework ambayo mtu anaweza akafanya applications kwa kumix kugha mbalimbali kama C/C++/C# na F# kuwarahisishia macoders.

wakati C# ina mimic C++ katika .Net, F# inajitahidi ku mimic vyote classes(object oriented) and functional programming(kama kwenye C), ndo deal la watu wa .NET sa ivi. They claim its more powerful than C# and VB

Nahisi nimekusaidia ndugu yangu... mi huwa nna maneno mengi, so chambua chambua humo utapata smthn.
 
hii thread ilikuwa inazungumzia VB2008 nilitegemea watu wangekuja na yanayohusu VB2008 au hata VB2010. kama kuna mtu anaona Csharp C++ anayo elimu basi afungue thread mpya na amwage elimu huko. ila ninavyojua mimi elimu yote inapatikana kwenye internet. kama kuna mtu anaelimu na python ningefurahi kama angenipa hayo maelimu . sitaki anipe google maana nataka anifundishe nielewe na niweze kumuuliza swali anijibu. nilipata mwalimu mmoja alikuwa ametoka Wales kiingereza chake kilikuwa fast sana kiasi kwamba nikashindwa kumuelewa alikuwa anaongea kama chereani.
 
hii thread ilikuwa inazungumzia VB2008 nilitegemea watu wangekuja na yanayohusu VB2008 au hata VB2010. kama kuna mtu anaona Csharp C++ anayo elimu basi afungue thread mpya na amwage elimu huko. ila ninavyojua mimi elimu yote inapatikana kwenye internet. kama kuna mtu anaelimu na python ningefurahi kama angenipa hayo maelimu . sitaki anipe google maana nataka anifundishe nielewe na niweze kumuuliza swali anijibu. nilipata mwalimu mmoja alikuwa ametoka Wales kiingereza chake kilikuwa fast sana kiasi kwamba nikashindwa kumuelewa alikuwa anaongea kama chereani.

wewe umeomba kupitia hii hii thread ya VB upewe elimu ya python.... this is okay for you


Mimi nataka
Visual basic ni nini? ina tofauti gani na C++ au C♯ na F♯
aksante

Ila mwingine kauliza kuhusu tofauti ya hizo lugha; C++ au C♯ na F♯, kwenye hii hii thread (akajibiwa)... And this is not okay for you

try one of this link nimeupload huko

Sams Teach Yourself Visual Basic 6 in 21 Days.pdf

Sams Teach Yourself Visual Basic 6 in 21 Days.pdf

jaribu pia na kwenda afroit.com.

Huyu wa VB kama unavoona alishajibiwa.

Mi ni mgeni hum katika habari nzima ya kupost, I used to just read, ila mwaka huu nimehamasika kuget-involved. So bado sijazoea mazingira, nimeona kuna swali nikasema nilijibu. Pia kuna swali lingine la functionality ya log-in kwa watu hamsini (soma hapo juu), sasa hili tunalijibu wapi(ili tusiviolate the rules au tunalichunia)? Next time nitajitahidi kufungua thread mpya na "kwenda kumwaga" elim yangu huko.
 
nimeelewa ila ningependelea mtu mwenye elimu ya python afungue thread ili iwe msaada kwangu na wengine. mimi nikifungua thread inaweza ikakosa mwalimu halafu ikapotea. lakini nashukuru kwa kunifahamisha. vile vile kama kuna mtu mwenye ujuzi wa kurifill cartridge za printer afungue thread ya hiyo elimu, maana haya mavitabu ya ebook yanakula sana wino wa printer kama utataka kuprint. mimi ninaelimu ya kurifill lakini sio kwa undani saana. kama tutakosa teacher wa cartrige re-filling basi nitajitupa na haka kaelimu kadogo nilichokuwa nacho. kuna umuhimu sana kufanya mwenyewe, maana kale kachupa cha ujazo wa 100mil nanunua sh 5000/= naweza kuprint kitabu cha 800pages(A4) kwa only ujazo wa 10mil. kwahiyo inakuwa rahisi ku-print vitabu vingi vya ebook,pdf kwa bei ndogo sana.
sasa visual basic tutorial imehamia kwenye cartridge re-filling sorry for this ila naomba kama tunaweza kupata new thread na mtaalamu ( asiwe copy & paste pekee bali awe anafanya na yeye ili kuwe na maswali)
 
hii thread ilikuwa inazungumzia VB2008 nilitegemea watu wangekuja na yanayohusu VB2008 au hata VB2010. kama kuna mtu anaona Csharp C++ anayo elimu basi afungue thread mpya na amwage elimu huko. ila ninavyojua mimi elimu yote inapatikana kwenye internet. kama kuna mtu anaelimu na python ningefurahi kama angenipa hayo maelimu . sitaki anipe google maana nataka anifundishe nielewe na niweze kumuuliza swali anijibu. nilipata mwalimu mmoja alikuwa ametoka Wales kiingereza chake kilikuwa fast sana kiasi kwamba nikashindwa kumuelewa alikuwa anaongea kama chereani.

Calvin power wakati unaandika haya ulikuwa bado una hangover nini. teh teh teh

Calvinppower said:
Nilitegemea watu wangekuja na yanayohusu VB2008 au hata VB2010.
miminimteoa kitabu cha VB6 labda nimekosea wewe kama unacho cha VB2008 au VB 2010 toa. Naamini muhitaji hatashindwa kitu kama nimempotosha mwambie. Am open to criticism

Sasa cha ajabu wewe unashangaa watu amabao hawajachangia yanayo husu VB2008 na VB2010 wakatii wewe mwenyewe hujatoa chochote kuhusu mada huku ikuonekana wazi unajua haya mambo.

alafu kama mjumbe mmoja alivyosema ukaja na hii
Calvinppower said:
......kama kuna mtu anaelimu na python ningefurahi kama angenipa hayo maelimu

Calvinppower said:
.....Wales kiingereza chake kilikuwa fast sana kiasi kwamba nikashindwa kumuelewa alikuwa anaongea kama chereani.....
Wa wales kingereza kwao inawezekana ni lugha yao ya pili. kushindwa kumuelewa sio sababu ya kuongea kama cherani ni matamshi yao na wewe kutokuwa makini .Watu wamefundishwa kingereza na wachina na wajapan na wahindi na wanaelewa.Navyoua mm programming hujifunzi kama history inakwenda kwa practice.

Calvinppower said:
.......kama kuna mtu anaelimu na python ningefurahi kama angenipa hayo maelimu
Ukweli nikisoma btn the lines naona na wewe una elimu nzuri tu ya phyton una chotaka ni mtu mwingine mwenye elimu hiyo mpeane changamoto.
 
mtazamaji sikuwa na maana hiyo ya vb6 isiingie humu vb6 na .net vinafanana sana na mchago wako ni mkubwa sana nimedownload hivyo vitabu kumbe pc yangu hapa haina acrobat reader ni mpaka home.

kweli kabisa python siielewi ila kuna software ya bios password ipo kwenye python na nilitaka niiweke kwenye .net hii hapa http://dogber1.blogspot.com/
 
mtazamaji sikuwa na maana hiyo ya vb6 isiingie humu vb6 na .net vinafanana sana na mchago wako ni mkubwa sana nimedownload hivyo vitabu kumbe pc yangu hapa haina acrobat reader ni mpaka home.

kweli kabisa python siielewi ila kuna software ya bios password ipo kwenye python na nilitaka niiweke kwenye .net hii hapa http://dogber1.blogspot.com/


Ok kamanda hiyo phyton nakumbuka kuna kitu nilitakaga kufanya .Baada ya kusoma kwenye net nikashsuriwa niwe na phyton . Nikadonwlod phyton. Sikuweza kuinstall..hahaha . hako ka project kangu kalikufa kifo cha mende

But unajua ulinipa darasa fulani la microcontrler naendelea kujipa challenge. By wezi huu nadhani nitaikamilisha.
 
Nataka kujua how to code Log in Interface kwa user mbalimbali lets say 50.
Yaani ile window ya User Name______________
Password_______________

Ngoja nikuulze swali linaloweza kukusaidia na kupata majibu hata mtandaoni

Umeshatengenza database itakayoweka creditial za user.( login name na password) Sababu information za user user wawe watatu wanne au hata 100 lazima ziwe kwenye database.

Unaweza kutumia SQL server express. Then kupata hata ready made code za C# au VB kwenye mtandao ni muda wako tu Utakachohitaji ni kufanya editing ziendane na varibles zako.ilimradi una basic concept za prog language unayotumia then utaelewa hizo code zinafanya nini na nini ubadilishe kiendane na prog yako


Mfano soma hapa C# Station: ADO.NET Tutorial Lesson 02 - The SqlConnection Object
ujifunzze mambo ya ADO.Net .Nadhani mwazoni VB ilikuwa inatumia ODBC

kama unataka Code specific za VB jaribu kucheki kwenye forums kama hii. http://www.vbforums.com/showthread.php?t=390460

Vile vile huyu jama kaeleza kile nilichoeleza lakini kaeleza kwa ufasaha nini unahitaji

.
1. create the database with a password

2. connect to a database

3. query the database and retrieve info

4. vb textboxes or maybe input box

5. if statements

6. VB form and how to run it

7. A way to show your flash stuff
comment kutoka Creating Front-End Login Interface
kama sio mivvu wa kusoma tafuta kinaitwa Pro ASP.NET in C#. Soma kipengele cha Data acess.

unaweza kukuisoma pia kwenye google book hapa Pro ASP.Net 4 in C# 2010 - Google Books

watembelee na jamaa wa afroit.com wana mavitabu yanaweza kukusaidia.

Otherwise fafanua zaidi project yako tuchemshe vichwa hapa hapa humu humu
 
nimeelewa ila ningependelea mtu mwenye elimu ya python afungue thread ili iwe msaada kwangu na wengine. mimi nikifungua thread inaweza ikakosa mwalimu halafu ikapotea. lakini nashukuru kwa kunifahamisha. vile vile kama kuna mtu mwenye ujuzi wa kurifill cartridge za printer afungue thread ya hiyo elimu, maana haya mavitabu ya ebook yanakula sana wino wa printer kama utataka kuprint. mimi ninaelimu ya kurifill lakini sio kwa undani saana. kama tutakosa teacher wa cartrige re-fillin mkuu kuhusu ya kurifill tayari ww ni mwlm anzisha kama ambavyo umeshanza wengine watakubackup mkuu umegusia tu tayari imenoga
 
Back
Top Bottom