krava
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 225
- 287
Wataalamu wa mambo ya vita tuambieni vita kati ya China na USA itapigwaje maana wako mbali sana maelfu ya kms
Je watatumia IBM intercontinental ballistic missiles au maana hata Yale mameli makubwa aircraft carrier yako vulnerable kuwa tagerted litazamishwa baharini soon likianza Ku move mfano Nimitz
Haya tukija kwenye madege yatatunguliwa tu yakianza kuingia kwenye air space ya adui askari wa miguu ndio kabisaaaaà haiwezekani eti infantry ya Beijing ikanyage mitaa ya Manhattan na kinyume chake sasa vita kati ya mataifa haya itapigwaje?
Kuhusu mrusi yeye tunamsogezea mavitu yote ulaya kuanzia vifaa mpk askari vita hebu wajuzi wa Vita tuambieni
Je watatumia IBM intercontinental ballistic missiles au maana hata Yale mameli makubwa aircraft carrier yako vulnerable kuwa tagerted litazamishwa baharini soon likianza Ku move mfano Nimitz
Haya tukija kwenye madege yatatunguliwa tu yakianza kuingia kwenye air space ya adui askari wa miguu ndio kabisaaaaà haiwezekani eti infantry ya Beijing ikanyage mitaa ya Manhattan na kinyume chake sasa vita kati ya mataifa haya itapigwaje?
Kuhusu mrusi yeye tunamsogezea mavitu yote ulaya kuanzia vifaa mpk askari vita hebu wajuzi wa Vita tuambieni