Vita kati ya jide na luge wa clous fm

Vita kati ya jide na luge wa clous fm

BashiriOnline

Senior Member
Joined
Nov 5, 2012
Posts
127
Reaction score
44
1.Ikumbuke kuwa Jide aliwahi kufanya kazi ya Utangazaji ktk kituo cha Clous Fm Miaka ya nyuma sana....

2.Awali Jide alikuwa ni Manager wa Luge..Baada ya Jide kuamua kijitoa na kusimam yeye kama Jide,hapo ndio vumbi likaanza..

3.Kwa Maelezo ya walaka wa Jide,anasema kuwa,imefika mahari,hadu wasanii wenzake,wamepigwa mkwara kufanya hata Kolabo ya Music na Jide kwa kupigwa Mkwara na Luge kwamba ,ni marufuku msanii anaye milikiwa na Luge,kujihusisha na Jide Kimuziki..

4.Luge ameamua kumzibua Jide,hadi kwa wazamini,km Vodaom,Airtel nk,kutompa sapot Jide Kwa Lolote..

5.Baada ya Jide kutaka kuzindua Show kabambe ya kuazimisha Miaka 13 ya Yeye kuwa kwenye game,Luge naye ameamua kufanya yake kwa kumtumia FA,kwa muda ule ule na siku ileile kwa Lengo la Kumfunika Jide au kumpunguzia wateja..

6..Vita kama hii nani atashinda..Nakalibisha maoni kwa wadau wote,ila tuwe na busara ktk uchangiaji
 
Huyu ruge amezoea sana uchafu huu, watanzania tutokeni kwa wingi kama tulivyofanya kwa sugu kum support jide siku hiyo ya tukio, na kwa nini fa anakubali kutumika kama walivyokubali wakina afande sele siku zile kumuangusha sugu lakini walikoma wenyewe game ilikua kali na wazalendo tulijaa tele wao wakaishia sijui dmx huyu mtoto anatamaa sana na dhuluma kibao, yeye miaka yote anatengeneza pesa huyo jide akitengeneza siku moja atapungukiwa na nini
 
Ruge ameshawahi kulala chumba kimoja na jide afrika kusini. Yaliyotokea humo hatuyajui
 
1.Ikumbuke kuwa Jide aliwahi kufanya kazi ya Utangazaji ktk kituo cha Clous Fm Miaka ya nyuma sana....

2.Awali Jide alikuwa ni Manager wa Luge..Baada ya Jide kuamua kijitoa na kusimam yeye kama Jide,hapo ndio vumbi likaanza..

3.Kwa Maelezo ya walaka wa Jide,anasema kuwa,imefika mahari,hadu wasanii wenzake,wamepigwa mkwara kufanya hata Kolabo ya Music na Jide kwa kupigwa Mkwara na Luge kwamba ,ni marufuku msanii anaye milikiwa na Luge,kujihusisha na Jide Kimuziki..

4.Luge ameamua kumzibua Jide,hadi kwa wazamini,km Vodaom,Airtel nk,kutompa sapot Jide Kwa Lolote..

5.Baada ya Jide kutaka kuzindua Show kabambe ya kuazimisha Miaka 13 ya Yeye kuwa kwenye game,Luge naye ameamua kufanya yake kwa kumtumia FA,kwa muda ule ule na siku ileile kwa Lengo la Kumfunika Jide au kumpunguzia wateja..

6..Vita kama hii nani atashinda..Nakalibisha maoni kwa wadau wote,ila tuwe na busara ktk uchangiaji

Naamini Mungu yupo na siku zote husimamia ukweli na usawa. Basi hapo Mungu atadhihirisha ukweli kwa kumuumbua mkandamizaji na kumwenua mkweli
 
1.Ikumbuke kuwa Jide aliwahi kufanya kazi ya Utangazaji ktk kituo cha Clous Fm Miaka ya nyuma sana.... (so what?)

2.Awali Jide alikuwa ni Manager wa Luge..Baada ya Jide kuamua kijitoa na kusimam yeye kama Jide,hapo ndio vumbi likaanza.. (mwaka gani huo?...lol!)

3.Kwa Maelezo ya walaka wa Jide,anasema kuwa,imefika mahari,hadu wasanii wenzake,wamepigwa mkwara kufanya hata Kolabo ya Music na Jide kwa kupigwa Mkwara na Luge kwamba ,ni marufuku msanii anaye milikiwa na Luge,kujihusisha na Jide Kimuziki.. (hili kwani jipya?)

4.Luge ameamua kumzibua Jide,hadi kwa wazamini,km Vodaom,Airtel nk,kutompa sapot Jide Kwa Lolote..(wadhamini hawawezi kuzuiliwa na Ruge, wale ni wafanyabiashara)

5.Baada ya Jide kutaka kuzindua Show kabambe ya kuazimisha Miaka 13 ya Yeye kuwa kwenye game,Luge naye ameamua kufanya yake kwa kumtumia FA,kwa muda ule ule na siku ileile kwa Lengo la Kumfunika Jide au kumpunguzia wateja..(si ya leo!)

6..Vita kama hii nani atashinda..Nakalibisha maoni kwa wadau wote,ila tuwe na busara ktk uchangiaji

Hoja yako hasa hapa ni ipi? Maana kuamka saa nane kasoro robo usiku na kupost JF inahitaji hoja nzito eti!..hizi za kupotezea muda huwa tunazitupia FB, kule zinakutana na walengwa wengi muda huo!
 
1.Ikumbuke kuwa Jide aliwahi kufanya kazi ya Utangazaji ktk kituo cha Clous Fm Miaka ya nyuma sana....

2.Awali Jide alikuwa ni Manager wa Luge..Baada ya Jide kuamua kijitoa na kusimam yeye kama Jide,hapo ndio vumbi likaanza..

3.Kwa Maelezo ya walaka wa Jide,anasema kuwa,imefika mahari,hadu wasanii wenzake,wamepigwa mkwara kufanya hata Kolabo ya Music na Jide kwa kupigwa Mkwara na Luge kwamba ,ni marufuku msanii anaye milikiwa na Luge,kujihusisha na Jide Kimuziki..

4.Luge ameamua kumzibua Jide,hadi kwa wazamini,km Vodaom,Airtel nk,kutompa sapot Jide Kwa Lolote..

5.Baada ya Jide kutaka kuzindua Show kabambe ya kuazimisha Miaka 13 ya Yeye kuwa kwenye game,Luge naye ameamua kufanya yake kwa kumtumia FA,kwa muda ule ule na siku ileile kwa Lengo la Kumfunika Jide au kumpunguzia wateja..

6..Vita kama hii nani atashinda..Nakalibisha maoni kwa wadau wote,ila tuwe na busara ktk uchangiaji

Wasanii, na madawa ya kulevya!!
Wanapotosha maadili kwa watoto mavazi ya uchi!!!
Watawala wanapenda wasanii na kufadhili msiba yao!!!
 
Huyu ruge amezoea sana uchafu huu, watanzania tutokeni kwa wingi kama tulivyofanya kwa sugu kum support jide siku hiyo ya tukio, na kwa nini fa anakubali kutumika kama walivyokubali wakina afande sele siku zile kumuangusha sugu lakini walikoma wenyewe game ilikua kali na wazalendo tulijaa tele wao wakaishia sijui dmx huyu mtoto anatamaa sana na dhuluma kibao, yeye miaka yote anatengeneza pesa huyo jide akitengeneza siku moja atapungukiwa na nini

Ndo hapo ujue kuna watu wengine ni binadamu ila wana roho za sokwe
 
Naamini Mungu yupo na siku zote husimamia ukweli na usawa. Basi hapo Mungu atadhihirisha ukweli kwa kumuumbua mkandamizaji na kumwenua mkweli
Mungu ninaye mwamini mimi hawezi kushughulika na uchafu wa wasanii na usanii huu tunaoujua
 
Ruge ameshawahi kulala chumba kimoja na jide afrika kusini. Yaliyotokea humo hatuyajui
Ynajulikana ili tunaogopa ban!!!
Wasanii ni wachafu wa kupindukia na watawala wanawapenda kwa kuwa nao ni wachafu!!!!!!!!
 
Huyu ruge amezoea sana uchafu huu, watanzania tutokeni kwa wingi kama tulivyofanya kwa sugu kum support jide siku hiyo ya tukio, na kwa nini fa anakubali kutumika kama walivyokubali wakina afande sele siku zile kumuangusha sugu lakini walikoma wenyewe game ilikua kali na wazalendo tulijaa tele wao wakaishia sijui dmx huyu mtoto anatamaa sana na dhuluma kibao, yeye miaka yote anatengeneza pesa huyo jide akitengeneza siku moja atapungukiwa na nini

Sure sure Mkuu...Pamoja sana Mwana
 
Hoja yako hasa hapa ni ipi? Maana kuamka saa nane kasoro robo usiku na kupost JF inahitaji hoja nzito eti!..hizi za kupotezea muda huwa tunazitupia FB, kule zinakutana na walengwa wengi muda huo!

Kibaraka wa Luge utamuona tuu..Utaolewa Kijana..
 
Jide atashinda tu maana ndo anaonekana kupambana kwa niaba ya wasanii wote. Luge amekuwa akifanya hivi dirty business maisha yake yote.....Hachoki??????!!!!!!!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Hakuna atakayeshinda

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom