Vita vikubwa vya Badri, Jeshi la Waislamu. Ilikuwa siku ya Ijumaa mwezi wa Ramadhani 13th March/624 A.D

Shi'a ,shi'a ,shi'a πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ umejizuia sana kutowatukana hap uliowaita "shakhayn" πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu ipo hivi hata muwachukie , muwatusi, muwaite majina yasiyo faa na kuwapakazia uongo chungu nzima hao watabaki kuwa maswahaba wa mtume muhammad (swalallah a'layhi wasallam) .

Mtu aliyeelezewa kwa uzuri na Allah(The All powerful) bila kutajwa jina kwenye quran (darja kubwa sana hiyo kama haujui ) leo hii unamtusi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…