Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wezi kama hao wanastahili kupigwa risasi mbele ya watu ili iwe funzo kwa wajinga wengine wenye tabia kama hizi.Kenya wanachekesha Sana.
View attachment 1399963
sasa mnaweka vitu hawajazoea ona mtaani? kwao ni mali!Wezi kama hao wanastahili kupigwa risasi mbele ya watu ili iwe funzo kwa wajinga wengine wenye tabia kama hizi.
Kenya utawamaliza wote, hakuna ambaye sio mwizi. Ila inawezekana kabla hajafanikiwa kufyatua risasi, hiyo silaha ikaibiwa, hapana kucheza na mkenya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wezi kama hao wanastahili kupigwa risasi mbele ya watu ili iwe funzo kwa wajinga wengine wenye tabia kama hizi.
HahahahahaKenya utawamaliza wote, hakuna ambaye sio mwizi. Ila inawezekana kabla hajafanikiwa kufyatua risasi, hiyo silaha ikaibiwa, hapana kucheza na mkenya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni Kenya usijaribu kuingiza Africa katika matatizo yenu, njoo huku Dar uende pale makao makuu ya NBC, posta ya zamani, mbele yake pana bustan ya kupumzikia, waliweka kizimba cha maji ya kunywa zaidi ya miaka miwili sasa, tena koki walizofunga ni zile za bei kubwa, hakijawahi kuibiwa pamoja na kwamba bado hawajaunganisha maji.Yaani polisi aliyeshika bunduki mkononi lazima apige doria karibu na hizo taps ndio watu waoshe mkono bila tap kuibiwa. Afrika bwana, tulirogwa na nani?
$100b vs $63bHiyo ni Kenya usijaribu kuingiza Africa katika matatizo yenu, njoo huku Dar uende pale makao makuu ya NBC, posta ya zamani, mbele yake pana bustan ya kupumzikia, waliweka kizimba cha maji ya kunywa zaidi ya miaka miwili sasa, tena koki walizofunga ni zile za bei kubwa, hakijawahi kuibiwa pamoja na kwamba bado hawajaunganisha maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lina anzia kwenye kujisafisha mkienda chooniWezi kama hao wanastahili kupigwa risasi mbele ya watu ili iwe funzo kwa wajinga wengine wenye tabia kama hizi.
Tatizo lina anzia kwenye kujisafisha mkienda chooni
Wakenya mnapenda kunuka mavii kila sehemu mkenya ukimwambia ajisafike chooni ni ugomvi lazima atang'oa koki ya maji ili msimsumbue
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe mtoto una miaka mingapi?Tatizo lina anzia kwenye kujisafisha mkienda chooni
Wakenya mnapenda kunuka mavii kila sehemu mkenya ukimwambia ajisafike chooni ni ugomvi lazima atang'oa koki ya maji ili msimsumbue
Sent using Jamii Forums mobile app