Vita vya Kagera: Nini chanzo? Kulikuwa na ulazima?


Hakuna ukweli hata chembe ktk hili unalolisema.
 

Acha uongo wewe! Nyerere alilaaniwa na mataifa mengi ya dunia kwa uvamizi wake Uganda na ndio maana TZ haikupata msaada wowote baada ya vita na gharama zote za kulinda amani Uganda na ndio chanzo cha kuporomoka kwa uchumi wetu.
 
Hidi Idi Amin alichaguliwa kwenye uchaguzi gani kuingia madarakani uliompa uhalali wa kuwa Rais wa nchi huru?

Acha upotoshaji wewe mzee. Unahoji Idd Amin aliingiaje madarakani ili uhalalishe kung'olewa kwake?!!! Mbona huyo Obote ambaye alikuwa kipenzi cha Nyerere aliingia madarakani baada ya kumpindua kabaka?!!! Soma vizuri historia ya Uganda utaona kuwa mara baada ya kupata uhuru wake mwaka 1962 Obote alikuwa ni Waziri Mkuu na Rais alikuwa kabaka ambaye sikumbuki jina lake kwa sasa.
 
Kwanini Obote alikuwa Tanzania?
Kabla ya kuja Tanzania Obote alikuwa na cheo gani kabla huko Uganda na alikipotezaje hicho cheo?

Kwahiyo TZ ndiyo ilikuwa sehemu ya kuja kushtakia kesi yake?!!! Mbona Nyerere hakwenda kumkomboa Lumumba alipokamatwa na wanajeshi wa Kasavubu na mwenzake Shombe?
 

Maneno ya mtaani haya.
 
Mkuu endeleza iyo story
 
Nimechelewa sana kusoma hii thread ila kama bado upo active basi nina mashaka na uraia wako
 
Huo Ni uongo nchi za magharibi ziliitenga coz ujamaa
 
Iddi amin alifanya mambo gani mpaka aitwe dictator? Mbona hata mwalimu alifanyya mambo mabaya tuu
 
Rubbish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Takataka za kale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga tu. Chokochoko za Mwalimu. Kitu ilisababishia nchi umasikini mkubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…