Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
DuhInshallah tutashinda makafiri
Tunamwomba Allah akatutendee haki siku ya kiyama kwa bikra safi
Kwahiyo mpango wa edogan ni kuchukua maeneo ya Syria?Israel na US na Turkey hao ndio wanataka kumtoa Assad. Afu huyo Tayyip Erdogan anakuambia Shetanyahu ni mshenzi huku kwa nyuma wako pamoja. Yote ili Assad asimamishe kupeleka silaha Lebanon. Yule Erdoğan yeyetarget yake aimeze Halab au kama ijulikanavyo Aleppo
Mlipoanza kumshabikia Putin kupora Crimea bas Erdogan anataka Allepo na China anaitaka Kashmir , mdogo mdogo Kenya ataitaka Serengeti na Kilimanjaro ndipo mtaanza ona umuhim wa kukemea waporaji wa maeneo ya watuIsrael na US na Turkey hao ndio wanataka kumtoa Assad. Afu huyo Tayyip Erdogan anakuambia Shetanyahu ni mshenzi huku kwa nyuma wako pamoja. Yote ili Assad asimamishe kupeleka silaha Lebanon. Yule Erdoğan yeyetarget yake aimeze Halab au kama ijulikanavyo Aleppo
Wahi broo. Huenda kukawa na uhaba siku za karibuni kwani waendao ni wengi mno.Inshallah tutashinda makafiri
Tunamwomba Allah akatutendee haki siku ya kiyama kwa bikra safi
Hao watu bhana; wanajuana wenyewe.Kwahiyo mpw
Kwahiyo mpango wa edogan ni kuchukua maeneo ya Syria?
Mbona juzi nimemuona ana mkoromea netanyahu
Huyo Mturkey maneno mengi kama vile France. We hujui France alijidai ana matatizo na Israel, ili ajifanye yuko close na Lebanon. France ndio aliye kuwa anawatia pressure serekali ya Lebanon pamoja na US kusimamisha vita. Bada ya vita kusimama France anasema Shetanyahu hata akienda France hawafati ICC.Kwahiyo mpw
Kwahiyo mpango wa edogan ni kuchukua maeneo ya Syria?
Mbona juzi nimemuona ana mkoromea netanyahu
Mkuu hivi hapo syria Turkey huwa ana maslahi gani yanayokinzana na Russia na Assad?Mkuu Uturuki ndo muhusika mkuu kwa hichi kinacho endelea sasa ,maana waasi anao waunga mkono ndo wahusika wakuu wa mashambulizi yanayo endelea japo kuna makundi mengine madogo.
Dah. Aisee! Umefikiri mbali sana mkuu. Kongole.Mlipoanza kumshabikia Putin kupora Crimea bas Erdogan anataka Allepo na China anaitaka Kashmir , mdogo mdogo Kenya ataitaka Serengeti na Kilimanjaro ndipo mtaanza ona umuhim wa kukemea waporaji wa maeneo ya watu
Sasa China na Kashmir wap na wap ?Mlipoanza kumshabikia Putin kupora Crimea bas Erdogan anataka Allepo na China anaitaka Kashmir , mdogo mdogo Kenya ataitaka Serengeti na Kilimanjaro ndipo mtaanza ona umuhim wa kukemea waporaji wa maeneo ya watu
Soma raman acha uzuzu , Kashmir ipo kati ya Pakistan , India na China , China amefanikiwa kudanganya ulimwengu kuwa Kashmir inapiganiwa na Pakistan na India ila ukweli ni kwamba China anaitumia Pakistan ili aweze kuipora Kashmir kama anavyopora baadhi ya maeneo ya India huko upande wa krb na ukanda wa milima ya HimalaySasa China na Kashmir wap na wap ?
Ngumu sn waturuk wajanja sn sio kama hizo nchi nyingine za Kiislam , Uturuki kala timing nzurii ili ajiweke vzr kote USA na Urusi , alijitenga sn na USA kafanya hv ajikoshe Kwa USA Trump akiingia madarakan na akifurahishwa na Uturuki bas Uturuki anawaachia migogoro wao yey anaenda kudeal na WakurdiSio muda mrefu mtasikia wanajeshi wa uturuki wana uawa kama siafu hapo Syria
Kama Asad anafaa wamchukue akatawale Russia au Iran!; Syria Wananchi wamechoks...Japo apo umesema kweli. IRAN TO IRAQ × SYRIA TO LEBANON iyo kweli na Iran na russia kamwe kamwe kamwe awawezi kukubali utawala wa Asad uanguke apo SYRIA moto wake utakaowashwa sio wakitoto na wala awatoweza kufikia uzibiti kama ule kwanza.
Nani hao mkuu,hebu fafanuawametembeza kixhapo mpaka basi naangalia Al shabab tv hapa
WaasiiNani hao mkuu,hebu fafanua
Thank uWaasii
Uturuki imeamua kutumia hii nafasi vyema kuiimarisha nguvu za waasi.Vita nchini Lebanon ilipokuwa inaelekea mwisho, mzozo mwingine mkubwa umezuka Mashariki ya Kati - au labda si mpya sana. Waasi wa Syria wanaopinga serikali wameanzisha mashambulizi ya haraka dhidi ya jiji kubwa zaidi nchini, Aleppo. Tayari wanadhibiti vijiji kadhaa na wameendelea hadi barabara kuu ya Damascus-Aleppo.
Kwa mara ya kwanza tangu 2020, mapigano makali yamezuka nchini Syria. Vikosi vya serikali vinatoa upinzani dhaifu. Waasi wanasonga mbele kwa kasi, na vikosi vya Assad vimeshindwa kuwazuia, vikijiondoa vyenyewe maeneo
Wakati wa mapigano karibu na Aleppo, mshauri wa kijeshi wa Iran, Jenerali wa IRGC Kiyumars Pourhashemi, aliuawa. Shughuli mpya za waasi zimechochewa na kushindwa kwa Hezbollah na Israeli na kupelekwa tena kwa vikosi vya Urusi vilivyokuwa syria Ukraine. Dikteta wa Syria Bashar al-Assad amepanda ndege haraka kwenda Urusi kwa mashauriano na Putin.
Kulingana na ripoti ambazo hazijathibitishwa, makumi ya wanajeshi wa Urusi kutoka kwa "PMC ya Wagner" wameuawa wakati wa mashambulizi ya waasi, na baadhi , ya silaha na usafiri wa Urusi zimekamatwa. Waasi wanabomoa picha za Bashar al-Assad na alama zinazohusishwa na Urusi. Wametangaza kuwa maadui wao wakuu ni WaIrani na Warusi, wanaounga mkono utawala wa Assad.
View attachment 3165135