lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,204
Del monte chanzo chake hasa ni kampuni ya wamarekani ambayo ilianza kazi miaka ya 1960s' hivyo ni watu waliokwenye game ya kutengeneza juice na kusindika vyakula mbalimbali kwa kiwango cha kimataifa na kwa muda mrefu sana,baadaye waliuza share zao nchi mbalimbali kenya ikiwemo,soko la del monte na ubora wake ni wa viwango vya juu sana ata ukinywa juice iliyotengenezwa na del monte ya usa au nchi nyingine formular yao ni moja..ni sawa na unapokunywa coca ya china na ya tz ni kitu sawa tu...del monte juice ya kenya wawezaiona kwenye supermarket dunia nzima..so azam juice haiwezi shindanishwa na del monte juice katika ubora..juice zao nyingi del monte ni organic yaani hawategemei zaidi madawa katika uzalishaji wao