Vita ya biashara kati ya USA vs EU,Mexico,Canada na China nani atashinda!?

Vita ya biashara kati ya USA vs EU,Mexico,Canada na China nani atashinda!?

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Ni dhahiri kwamba mpango Wa rais wa Marekani Donald Trump kulinda ajira za ndani ya US chini ya Sera yake ya Amerika Kwanza inakwenda kuibua vita kubwa ya kibiashara.

Leo Ijumaa Juni Mosi Umoja Wa Ulaya umeionya Marekani kwamba haitaketi tena kwenye mazungumzo kuhusu Ongezeko la kodi kwa bidhaa za Aluminium na Chuma zinaoingia USA kutoka EU...Badala yake EU inasema nayo inakwenda kujibu mapigo kwa 'kogonga' ushuru Mara dufu kwa bidhaa za Marekani hasa za kilimo pamoja na pikipiki etc...

Sio tu EU,Mexico na Canada nazo zimeonya zitachukua hatua sawa na hizo za EU dhidi ya Marekani....Ikumbukwe vita hii ilianza mapema mwaka huu kati ya China na Marekani kwa bidhaa hizohizo na sasa imetanua mbawa hadi EU na Canada

Rafiki Wa Trump,Emmanuel Macron nae kasema ongezeko la kodi la US kwa bidhaa za chuma na aluminum kutoka EU ni halikubaliki kabisa.

Ikumbukwe hizo hatua za kuongeza kodi zimeinua ajira USA siku za hivi karibuni SASA wasiwasi wangu hii Sera ya USA kujilinda Protectionism kwenye biashara itafaulu?....ni suala la muda,tusubiri....huyo ndo kaka Trump

Hili ongezeko la kodi litawaumiza sana EU ukizingatia chuma chao na aluminum wamekuwa wakiuza sana USA



==============
The US is playing a "dangerous game" by slapping tariffs on European steel and aluminium, the European Union's trade commissioner has said.

Cecilia Malmstrom warned the move by US President Donald Trump would have consequences for the economic recovery of the EU, as well as US consumers.

The EU has issued a 10-page list of tariffs on US goods ranging from Harley-Davidson motorcycles to bourbon.

Canada and Mexico are also planning retaliatory moves against the tariffs.

Ms Malmstrom said the EU would challenge the move at the World Trade Organization (WTO) but that tariffs on US imports were necessary as "we cannot just take these tariffs and stay silent".

The commissioner said that despite the EU's "rebalancing" action, the two sides were not in a trade war.

"What we are in is a very difficult situation," Ms Malmstrom said. This situation could only be diffused by the US withdrawing its measures against the EU, she added.
US tariffs a dangerous game, says EU
 
tulisema hapa... unapo muuzia rafiki yako wasasa ndege ya kivita ambayo haionekani kwenye rada (kama mnavyo dai) je ikifika pale rafiki wa sasa akawa adui yako ita kuwaje?

sisi ni binadamu sio wakamilifu... hivyo hatuwezi vumilia kila kitu ipo siku tuta choka na kitatokea kihoja... hiki ni kihoja kimoja wapo...
 
kama tuna ambiwa Texas ina taka kufanya kama ya Sudan kusini... kila uchwao wana taka kuwa taifa huru... na wamarekani wana mchukia sana Trump kwa madai ya wao wenyewe... tofauti na sisi wachache tuna mpenda angalau kidogo kisa ni jina la taifa husika (Marekani)
 
Peacefully grant the State of ______ to withdraw from the United States of America and create its own NEW government.

As the founding fathers of the United States of America made clear in the Declaration of Independence in 1776:

"When in the Course of human events, it becomes necessary for one people to dissolve the political bands which have connected them with another, and to assume among the powers of the earth, the separate and equal station to which the Laws of Nature and of Nature's God entitle them, a decent respect to the opinions of mankind requires that they should declare the causes which impel them to the separation."

"...Governments are instituted among Men, deriving their just powers from the consent of the governed, that whenever any Form of Government becomes destructive of these ends, it is the Right of the People to alter or abolish it, and institute new Government..."
 
Despite an apparent eagerness to conform to one another in terms of the language used in their individual petitions to secede, Alabama, Mississippi, Georgia, Florida, Louisiana, Texas (whose language is different), Kentucky, North Carolina, North Dakota, Indiana, New York, New Jersey, Colorado, Montana, and Missouri are among those apparently fired up enough to start petitions claiming they want to go it alone.

So, which state wants it the most? We looked at numbers of signatures on a state-by-state level to create the following chart ranking states on a desire-to-secede level. Note: There are two different Georgia and Missouri petitions. In those cases, we've taken the petition with the highest number of signatures.

The petitions are adding signatures as we speak. Oh, and I don't care whether you're a Democrat or a Republican, threatening to secede only serves to make you seem like a sore loser who never learned to share in kindergarten. Then again, wouldn't it be hilarious if we all seceded? Until we actually all seceded.
 
Trump alishasema huko nyuma walishasema mambo mengi sana atashindwa iikiwa ni pamoja Na urais ila aliibuka mshindi!

Naamini hata kwa hili marekani anaenda kuibuka mshindi
 
Back
Top Bottom