johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wale wahenga mnakumbuka tulizishuhudia zile silaha pale uwanja wa Uhuru baada ya wapiganaji wetu mashujaa kurejea kutoka vitani huko Mutukula.
Vita ni uimara na ujasiri wa mioyo na akili za wanajeshi na siyo wingi wa zana za kivita japokuwa nazo ni muhimu.
Mungu wa mbinguni ibariki Ukraine.
Maendeleo hayana vyama!
Vita ni uimara na ujasiri wa mioyo na akili za wanajeshi na siyo wingi wa zana za kivita japokuwa nazo ni muhimu.
Mungu wa mbinguni ibariki Ukraine.
Maendeleo hayana vyama!