Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Amani iwe nanyi wanabodi!
Kupitia Northen Corridor Kenya anataka kuingia DRC, Rwanda, Uganda na Sudan Kusini kwa Reli ya SGR.
Sisi Tanzania tunajenga SGR yetu kuingia Burundi na baadae Congo.
Kwa hesabu za haraka huko mbeleni SGR ya Kenya ndo itakayoleta faida zaidi kwa Kenya kuliko SGR yetu maana wao wataingia Congo pia tunapotaka kuingia sisi huku wakiingia Rwanda, Uganda na Sudan Kusini.
Kijiografia ni gharama ndogo sana kuingiza SGR Rwanda kutokea Tanzania compared na gharama zitakazotumika kuiingiza SGR Rwanda kutokea Kenya kupitia Uganda ambapo mpaka sasa ujenzi haujaanza.
Pia ni faida na rahisi zaidi kwa Rwanda kufanya biashara kupitia Tanzania endapo watatumia SGR yetu hasa pale tutakapoweza kuifikisha Rwanda.
Sio hivyo tu, ni rahisi kwetu zaidi kuipeleka SGR Kagera alafu ikaingia Uganda jambo ambalo linaweza kuishawishi zaidi Sudan Kusini kutumia SGR hii na kupitisha mizigo yake Tanzania
Mwisho haya yote yatazishawishi zaidi nchi za Uganda na Rwanda na baadae Sudan Kusini kupitisha mizigo yao Tanzania endapo tukianza sasa kujenga kipande cha SGR kutoka Bandari ya Tanga kuelekea Tabora-Geita- Kagera - Rwanda- Uganda ambapo ni rahisi kwa usafirishaji wa mizigo kuelekea na kutoka nchi za Asia na Australia kuliko ilivyo kwa Bandari ya Mombasa na hata Lamu.
Soma Pia:
Rais Samia
Rais wangu kipenzi. Itisha kikao cha Baraza la Mawaziri, ridhieni na anzisheni mambo yafuatayo;
1. Ujenzi wa kipande cha SGR kutoka Bandari ya Tanga kueleka Kagera- Rwanda na Uganda
2. Kuanzisha haraka mradi wa kupanua zaidi Bandari ya Tanga
3. Kuanza kuwashirikisha Rwanda, Uganda na Sudan Kusini mpango huu haraka sana.
Duniani hapa principle kuu ya maendeleo ni Ubaya Ubwela. Maximise your potentials mje kukumbukwa na vizazi vyote vya Tanzania hadi mwisho wa dunia kwa kufanya maamuzi ya maana yenye faida kwa nchi hii.
Lord denning Dar es Salaam!
Kupitia Northen Corridor Kenya anataka kuingia DRC, Rwanda, Uganda na Sudan Kusini kwa Reli ya SGR.
Sisi Tanzania tunajenga SGR yetu kuingia Burundi na baadae Congo.
Kwa hesabu za haraka huko mbeleni SGR ya Kenya ndo itakayoleta faida zaidi kwa Kenya kuliko SGR yetu maana wao wataingia Congo pia tunapotaka kuingia sisi huku wakiingia Rwanda, Uganda na Sudan Kusini.
Kijiografia ni gharama ndogo sana kuingiza SGR Rwanda kutokea Tanzania compared na gharama zitakazotumika kuiingiza SGR Rwanda kutokea Kenya kupitia Uganda ambapo mpaka sasa ujenzi haujaanza.
Pia ni faida na rahisi zaidi kwa Rwanda kufanya biashara kupitia Tanzania endapo watatumia SGR yetu hasa pale tutakapoweza kuifikisha Rwanda.
Sio hivyo tu, ni rahisi kwetu zaidi kuipeleka SGR Kagera alafu ikaingia Uganda jambo ambalo linaweza kuishawishi zaidi Sudan Kusini kutumia SGR hii na kupitisha mizigo yake Tanzania
Mwisho haya yote yatazishawishi zaidi nchi za Uganda na Rwanda na baadae Sudan Kusini kupitisha mizigo yao Tanzania endapo tukianza sasa kujenga kipande cha SGR kutoka Bandari ya Tanga kuelekea Tabora-Geita- Kagera - Rwanda- Uganda ambapo ni rahisi kwa usafirishaji wa mizigo kuelekea na kutoka nchi za Asia na Australia kuliko ilivyo kwa Bandari ya Mombasa na hata Lamu.
Soma Pia:
- Samia Great Railway (SGR): Kichocheo Kipya cha Maendeleo Tanzania
- Tungekuwa na Baraza la Mawaziri sharp na smart tungekuwa tunaipeleka SGR Uganda kwa focus ya kuifikisha Sudan Kusini na Afrika ya Kati
Rais Samia
Rais wangu kipenzi. Itisha kikao cha Baraza la Mawaziri, ridhieni na anzisheni mambo yafuatayo;
1. Ujenzi wa kipande cha SGR kutoka Bandari ya Tanga kueleka Kagera- Rwanda na Uganda
2. Kuanzisha haraka mradi wa kupanua zaidi Bandari ya Tanga
3. Kuanza kuwashirikisha Rwanda, Uganda na Sudan Kusini mpango huu haraka sana.
Duniani hapa principle kuu ya maendeleo ni Ubaya Ubwela. Maximise your potentials mje kukumbukwa na vizazi vyote vya Tanzania hadi mwisho wa dunia kwa kufanya maamuzi ya maana yenye faida kwa nchi hii.
Lord denning Dar es Salaam!