Vita ya makampuni ya mitandao kati ya USA na CHINA inaelekea kutamu

Vita ya makampuni ya mitandao kati ya USA na CHINA inaelekea kutamu

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Vita ya makampuni ya mitandao kati ya USA na CHINA inaelekea kutamu.

Baada ya Hukumu ya kuifunga TIKTOK huko marekani hatimaye followers wa Tiktok wanahama kwa mamilionj na kujiunga na app nyingine ya kichina inayoitwa Red note.

Sambamba na kuhama wamerekani wengi wanajikuta wanagundua kuwa walikuwa wakiongopewa sana juu ya haiba ya wachina na uchina.

Tusubiri kuona yanayojiri
 
Gen Z,Gen Alpha,Gen Beta rahisi kuwa control kupitia social media nafikiri China naye ameona hili gape hii kitu inaweza kumsumbua marekani kumdhibiti China.

Kati ya TikTok na RedNote mtandao unaovamiwa na hawa Gen Z na Gen Alpha wa kimarekani kwa sasa bora TikTok hiyo RedNote ndio balaah tupu sijui kama ita survive katika soko la Marekani kama TikTok
 
Back
Top Bottom