Vita ya mamba waWili ilioingiliwa na kenge wasiokuwa na uelekeo..

kweli kabisa i dont think hapa kuna mkono wa sugu na ruge tu....
Wanaoujua ukweli watuambie hata kwa kutu pm basi.......

Najua kuna mengi yanaendelea nyuma ya pazia mimi, wewe , huyu na yule hatuyajui
waweza kuta hata baadhi ya members wa clouds na members wa vinega hawajui.....
Wanajua nusu nusu tu....
Nimeshaanza kupata picha

big light, big sound stage ya kimataifa ambayo haijawahi kutumiwa kusini mwa jangwa la sahara safi??
Swali
there is someone ambaye ka finance hii kitu

nilimsikia mkoloni anasema kuna jamaa katoka marekani kuja kuona tu show ya vinega is he a real fan?? Kweli????

Why kinje kaingilia hii???

Kwanini twisa wa airtel kaingizwa humu??
Kwanza nilikuwa sijui kuwa ruge ana kampuni inaitwa 1 call
hehehehehe ngoja nikae kimya coz naogopa kuongea pumba
 
Samahani mi nilijua unamzungumzia mamba KIKWETE NA LOWASA na akina kenge nape na wenzie!
 
huyo ruge ni mnyonyaji sana kwanini anatumia pesa na nguvu nyingi kutaka kuwapoteza na kuwachafua vinega jana kusaga amekiri kuwa vinega wanamuumiza kichwa na amewashindwa ameongea na nchimbi wakae mezani na vinega wapate solution na hao mameneja masoko wakina twissa na wengine tutawachana na tutareport kwa mabosi wenu ulaya haiwezekani mtoe udhamini then mnataka ten parcent mzee kitime ameomba udhamini ili awaelimishe wasanii kuhusu haki miliki mkamchomolea hakuna mtu mwenye hatimiliki ya huu mziki kila mtu anahaki ya kuandaa matamasha
Na pia hizo caller tune mbona hamuweki wazi mikataba yenu kwa wasanii wajue wanapata kiasi gani uganda wasanii wanalipwa vizuri na tunaona mafanikio yao. MTAIBA MADINI WANYAMA NA RASILIMALI NYINGINE LAKINI SI MUZIKI WETU
 
kilicho wazi sana ni ufinyu wa mapato kwa wasanii wa muziki tanzania! kuna wizi unafanyika mahala fulani...swali ni nani anauratibu na kwa manufaa ya nani.

ushauri wangu kwa mzee wa magogoni: tenganisha taasisi ya urais na mahusiano yako binafsi na kina ruge.
 
KWELI KABISA.. MKUU! SUGU ANADHANI ZAMA HIZI NI ZILE ZA 1990 .... :lol:

Mbona mnaleta mambo ya siasa kwenye music!!acheni ujinga!Sugu atabaki kuwa baba lao tu,nyie endeleeni kubana pua!
 
Tatizo mmedandia treni kwa mbele hamjui Sugu anataka nini, Sugu haitaji airtime kwa radio yoyote ndio maana anasema ”hata msipopiga nyimbo zangu redioni hakuna maneno, mimi nilianza kurap kabla ya FM, wakati David Wakati ni mkurugenzi kwenye AM na watu walinifahamu, sahauni kuhusu kumpoteza Sugu, maana Sugu ni kama mvua kama inanyesha inanyesha tu na hakuna wa kuizuia, milango mliyoifunga hivi sasa itafunguka, kama vp ongezeni hasira, tunaingiza mamilioni mnaonga mabinti vitara, kila wakati nipo hewani BBC na Extra One”
Hayo ni baadhi ya maneno tu aliyoysema sugu miaka kadhaa iliyopita ujumbe ambao leo hii unawanyima raha Wafu Fm..
Wafu Fm hawajawahi piga nyimbo za Sugu toka 2002 lakini jamaa bado anawakilisha.
Umma inabidi utambue kwamba Anti-Virus Movement sio vita ya Sugu na Rugay bali ni Vita ya wasanii wanaodhulumiwa na kunyonywa dhidi ya Kupe Rugay!
Kupona kwao ni wasanii kuapata haki zao, leo hii redio yake inatengeneza heshima kwa wasaani wasio stahili? Hivi kweli kuna Legendary wa mziki wa kizazi kipya zaidi Sugu?
Halafu we **** Greater Thinker waambie wanaokutuma na wewe wote ni mafala tu, THT nani kakudanganya ni ya watoto yatima? Unaweza nitajia msanii ambaye ni yatima katika kundi hilo? Pipi, Barnaba, Linah, Amin na wengineo?
Unajua kwa nini waanzilishi wa THT wengi wamefukuzwa na wengine kupotezwa kwenye ramani ya sanaa?
Je unamjua mwanzilishi wa THT? Unajua kwa nini alijitoa THT?
 

kuna kipindi waliacha kupiga nyimbo za Inspekta Haroun(inapigwa Buzi ya Mr.Paul verse ya inspekta inakatwa),kikosi cha mizinga,Solo thang n.k

Twisa wa Airtel nae ni mshenzi tu kama Kinje
 
Sugu alianza Muzik kabla ya fm radios' na watu tulimfahamu,...Issue sio airtime issue ni malipo mazuri kwa wasanii,.Haiwezekani msanii wa US alipwe $100,000 na kwenye show anafunikwa na wasanii wa kibongo?!
 
BLAH BLAH BLAH BLAH.....! Kama wasnii wenyewe wamelalamika ruge kawanyonya,walikuwa wapi sikuzote mpka aje sugu ndo awateteee!? walitaka wenyewe hawa!Mimi namiss mapanga ya TMK na Sir Nature! Ngoja nibaki na ushabiki wa mpira tu sasa....
 
we mshamba ukija huku MBEYA(ambako ndo anaishi) nymbo za SUGU ni kama NATIONAL ANTHEM,so ishu ya airtym cio ishu kwake,anachotaka ni haki itendeke..ucukulupuke jipange,..
 
Huwa najiuliza inakuwaje wasanii wa uganda wananufaika na kazi zao na hapa kwetu ni tofauti? Issue za style sijui kubadilika sikubaliani nazo, msikilize chameleone wa miaka yote hamna tofauti ya kutisha! Kuna watu wanatulazimisha vya kuckiliza!
 

mkuu nimekuelewa vizuri ila nadhani kuna vitu hujavielewa,ruge na mtandao wake kwa kushirikiana na baadhi ya viongozi wa serikali wasio waadilifu wanakwamisha suala la serikali kusaidia kusimamia mapato ya wasanii kama ilivyo uganda(hata wewe umekili).Hivi hao wasanii wa nje unajua kuwa inatakiwa walipe kodi kutoka kwenye pesa wanayoingiza kwenye shoo(repatrieted tax)?unadhani kwanini hao wanaoletwa na ruge hawalipi hiyo Jiulize mara mbilimbili.SUGU + VINEGA = JIBU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…