Vita ya umiliki wa anga la juu

Vita ya umiliki wa anga la juu

Cesar Saint

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2016
Posts
423
Reaction score
726
China ni miongoni mwa mataifa yenye teknolojia ya hali ya juu ulimwenguni lakini wamekuwa na USIRI mkubwa na kuthibitisha hili China hawakuwa nyuma katika mageuzi ya teknolojia ya uchunguzi wa ulimwengu “Dawn of the Space Age “ mwanzoni mwa miaka ya 1950 na 1960 ikumbukwe kuwa wakati huo tayari Marekani na Umoja wa Kisoviet walikuwa wameshamaliza project zao za kutuma watu kwenye “Space” 1957 kwa wasoviet na 1960 kwa Marekani na wakafanya tena project ya pamoja Apollo-Soyuz mwaka 1975 .

IMG_4229.JPG

Mashine ya Wasoviet hii

Kipindi hiki chote Wachina wao waliendelea kufanya project zao kwa siri kama kawaida yao na wakati huu ilikuwa ni ya kupeleka mtu mmoja kwenye Space ikiitwa SHUGUANG-1 walishafika mahala pazuri kiasi cha kupata wana-anga 19 na kutokana na upepo mmbaya wa kisiasa wakaachana na mpango hii mwaka 1972.

IMG_4230.JPG

Mashine ya Wamarekani hii

Baada ya vuguvugu hili la kisiasa hatimaye kwenye miaka ya 1980s na 1990s kupitia program ya SHENZHOU wakafanikiwa kwa mara ya kwanza kutuma roboti kwenda kwenye Space mwaka 1999 ikijulikana taikonaut,Wana-anga wawili Yang Liwei wakisafiri kwa masaa 21 kwenda space mwaka 2003 October 15 wakipanda Shenzhou 5 na kuifanya China kuwa nchi ya tatu kufanikisha safari za Anga ya juu .

IMG_4231.JPG


IMG_4232.JPG

Mashine ya wachina hii

Baada ya mafanikio haya mwaka 2005 uchina wakarusha wana-anga wawili na 2008 wakarusha wana-anga watatu na kwa mara ya kwanza wakatembea kwenye Space “Space walk” na hapo ndipo umoja wa kisoviet ukaunda kituo chake cha anga kiitwacho Salyut Series and Mir na Marekani wao wakaunda Skylab na mwaka 2011 September 29 China wakatengeneza space station yao Tiangong-1 kwa roketi yao ya 2F kutokea northwest China.

Mpango bado inaendelea ya mataifa mengine kurusha vifaa vyao ila hawa ndio mataifa ya kwanza kufanya space exploration.

Asante
 
ISS inamilikiwa na nchi ngapi


The International Space Station(ISS) ni kituo cha anga ya juu kilochotengenezwa na wanadamu (artificial satellite) kilichopo kwenye mzunguko wa karibu na dunia (Low Earth Orbit) Umiliki wa program na matumizi ya kituo hiki unaratibiwa na sheria ya The International Space Station Intergovernmental Agreement, kwa kifupi 'the IGA', mkataba huu wa kimataifa ulisainiwa na mataifa 15 siku ya 29 January 1998 ukihusisha mataifa yote yanayojihusisha na SPACE EXPLORATION mataifa yanayowajibika na mkataba huu ni Europe, the United States, Russia, Canada, and Japan
European Space Agency ina kama nchi 17 hivi



is a space station, or a habitable artificial satellite, in low Earth orbit. WikipediaThe International Space Station is a co-operative programme between for the joint development, operation and utilisation of a permanently inhabited Space Station in low Earth orbit. The legal framework defines the rights and obligations of each of the countries and their jurisdiction and control with respect to their Space Station elements.
The International Space Station Intergovernmental Agreement, often referred to as 'the IGA', is an international treaty signed on 29 January 1998 by the fifteen governments involved in the Space Station project.* This key government-level document establishes 'a long term international co-operative frame-work on the basis of genuine partnership, for the detailed design, development, operation, and utilisation of a permanently inhabited civil Space Station for peaceful purposes, in accordance with international law' (Article 1);
 
Back
Top Bottom