Vita ya Zanzibar vs UK ilidumu kwa 38dk tu

Vita ya Zanzibar vs UK ilidumu kwa 38dk tu

kaachonjo

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
203
Reaction score
68
Vita vya Uingereza na Zanzibar ndiyo vita fupi zaidi duniani. Ilidumu dak. 38 tu. Ilikuwa 27 Agosti 1896.
CiZTcXIWgAEkDVz.jpg

kwenye vita hiyo majengo yaliharibiwa pamoja na vifo vya raia wengi vilitokea. je sababu za vita hiyo unaweza kuifahamu...tuwe pamoja
 
Sababu ilikuwa kumfanya sultani awe mwakilishi wa utawala wa mwingereza.
 
Back
Top Bottom