Vitabu vya historia ya Tanzania

Freesoule

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
269
Reaction score
272
Wanajamvi,
Kwa yeyote mwenye kopi laini (soft copy) ya kitabu cha historia ya Tanzania, hasa vile vilivyoandikwa na Taasisi ya Elimu Tanzania, naomba anitumie au kuiweka hapa jamvini kama inawezekana.
Asante,


Freesoule
 
Wanajamvi,
Kwa yeyote mwenye kopi laini (soft copy) ya kitabu cha historia ya Tanzania, hasa vile vilivyoandikwa na Taasisi ya Elimu Tanzania, naomba anitumie au kuiweka hapa jamvini kama inawezekana.
Asante,


Freesoule

ngoja waje historians watupe, mm nna hard copy ya I.N Kimambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…