Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Mkuu nenda kariakoo, makutano ya barabara ya uhuru na congo, unaingia hapo kama unaenda gerezani, vuka mtaa wa Kipata, nenda mbele vuka mtaa wa Lindi, kulia kwako kuna frem zimejipanga, ulizia wanaotengeneza vitabu vya risiti utakuwa umewapataWap naweza pata vitabu vizuri vya risiti vyenye risiti zenye muonekano mzuri kwa ajili ya kumbu kumbu
heee tenaMkuu nenda kariakoo, makutano ya barabara ya uhuru na congo, unaingia hapo kama unaenda gerezani, vuka mtaa wa Kipata, nenda mbele vuka mtaa wa Lindi, kulia kwako kuna frem zimejipanga, ulizia wanaotengeneza vitabu vya risiti utakuwa umewapata
kwaiyo wanakudisainia unavotakaMkuu nenda kariakoo, makutano ya barabara ya uhuru na congo, unaingia hapo kama unaenda gerezani, vuka mtaa wa Kipata, nenda mbele vuka mtaa wa Lindi, kulia kwako kuna frem zimejipanga, ulizia wanaotengeneza vitabu vya risiti utakuwa umewapata
Ndio mkuukwaiyo wanakudisainia unavotaka
duuh aasa mm niko mkoaNdio mkuu
Ndio maana umeulizwa upo wapi ili watu wakusaidie, unazunguka zunguka tu!duuh aasa mm niko mkoa
Sawa mkuu, ninaweza kukusaidia kuvipataduuh aasa mm niko mkoa