Vitabu vya sheria vya Kiswahili

Paroko da travellor

Senior Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
102
Reaction score
101
Habari wakuu, nimeamua kutunga vitabu vya sheria kwa kiswahili ili kuweza kuchangia ktk ulimwengu wa haki na sheria.

Ndani ya kitabu hiki kuna mada zifuatazo,haki zako unapokamatwa na polisi, namna ya kupata dhamana polisi au mahakamani, haki za msingi za binadamu na historia yake, sehemu ya kwenda haki zako zinapovunjwa, uchambuzi wa sheria za ardhi, sheria za ndoa,sheria za mirathi,haki zako unapofukuzwa kazi na sheria za kazi pamoja na sheria nyingine.

Kipo mtaani sasa, bei ni 10000 katika ofisi zetu mtongani ila ukiletewa popote kwa wa dar bei inakuwa 12000! kwa wa mikoani unatumiwa ulipo!

Mawasiliano 0717901233.
 

Attachments

  • IMG-20160205-WA0023.jpg
    179.2 KB · Views: 209
huku mbeya, vitabu tutavipata wapi mkuu, kwenye duka gani? au how can we get them
 
Ingekuwa vizuri kama ungekisambaza na mikoani..watu Wengi wanahitaji kujua sheria lakin upatikanaji wa vitabu au vijarida ni mgumu mno
 
Mtongani sehemu gani, nipe maelezo ya kutosha ili nimtume Dogo aje achukua kimoja fasta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…