Wakuu heshima kwenu!
Nahitaji msaada nikikumbuka enzi zile za hadith machozi yanataka kutoka sis tulio weza kusoma hadith mbalimbali leo hii katika ulimwengu wa sasa hatuoni watunzi mahili kama wale wa zamani
Ombi mwenye kuwa na kitabu kimojawapo anitjulishe nahitaji sana
1.KUFA NA KUPONA
2.NJAMA
3.KIKOSI CHA KISASI
4.KAMLETE AKIBISHA MLIPUE
5.OPERATION SUKUMA NAMBA NANE
6.TUANZE LINI (hiki ni cha
7.CHINI YA ULINZI
8.AMA ZAO AMA ZANGU
9.TUTARUDI NA ROHO ZETU
10.KAZIKWA YU HAI
11.IKIBIDI KUFA NIFE
12.MNUKO WA DAMU
13.MBIO ZA JASUSI
14.USIKU WA GIZA
15.ADILI NA NDUGUZE
16.UMELOGWA AU UMETUMWA (hiki sizani kama kuna anaekijua niliisoma zamani)
17.PEPO YA MABWEGE (na Harrison mwakyembe)
18.SUDI YA YOHANA na chachage seith chachage
19.BADO MMOJA
20.KARATASI ZA SIRI
19.
Nahitaji msaada nikikumbuka enzi zile za hadith machozi yanataka kutoka sis tulio weza kusoma hadith mbalimbali leo hii katika ulimwengu wa sasa hatuoni watunzi mahili kama wale wa zamani
Ombi mwenye kuwa na kitabu kimojawapo anitjulishe nahitaji sana
1.KUFA NA KUPONA
2.NJAMA
3.KIKOSI CHA KISASI
4.KAMLETE AKIBISHA MLIPUE
5.OPERATION SUKUMA NAMBA NANE
6.TUANZE LINI (hiki ni cha
7.CHINI YA ULINZI
8.AMA ZAO AMA ZANGU
9.TUTARUDI NA ROHO ZETU
10.KAZIKWA YU HAI
11.IKIBIDI KUFA NIFE
12.MNUKO WA DAMU
13.MBIO ZA JASUSI
14.USIKU WA GIZA
15.ADILI NA NDUGUZE
16.UMELOGWA AU UMETUMWA (hiki sizani kama kuna anaekijua niliisoma zamani)
17.PEPO YA MABWEGE (na Harrison mwakyembe)
18.SUDI YA YOHANA na chachage seith chachage
19.BADO MMOJA
20.KARATASI ZA SIRI
19.