Kama Irene Sanga ndio muandishi wa mashairi ya wimbo ule wa Mpoto uitwao MJOMBA basi mie nimemkubali; message ndani ya wimbo ule ni deep sana!!
Namkubali sana Carola Kinasha..uyu dada ni zaidi ya kina lady jd..kama unajua muziki lazma utanielewa....unajua hapa bongo kuna tatizo la media kutuchagulia wasanii wa kuwasikiliza,ivyo jamii inanyimwa fursa ya kusikia muziki wa kweli.
Kama Irene Sanga ndio muandishi wa mashairi ya wimbo ule wa Mpoto uitwao MJOMBA basi mie nimemkubali; message ndani ya wimbo ule ni deep sana!!