Vitambi kweli ni changamoto

Vitambi kweli ni changamoto

Geniustin

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2013
Posts
4,371
Reaction score
2,834
Wasalamu wakuu,

Ndugu zangu, Siku hizi naona kitambi kimeanza kujitokeza[emoji134] asikwambie mtu kitambi kina shida.

Naangaika jinsi ya kukaa, nalazimika kulegeza mkanda wakati nakaa, nahangaika kweli mpaka naona tumbo linauma[emoji134]

Kuvaa viatu shida, kuvua viatu shida[emoji134]
Kuvaa suruali shida, yaani shida tupu.


Wakuu wenye vitambi toka zamani, huwa mnaendana navyi vipi? Ama mnafanyaje wakati wa kukaa? Kuvaa viatu n.k????

Msaada wenu wakuu.
 
Kuwa Na Mgeni Ni Shida Sana Najua Umeeleza Kwa Uchache Kufidia Muda
 
kunywa gongo kitakata
Hahahha...aiseee...nikirudisha nyuma miezi kama Sita hivi...nilikuwa fresh, sina tabu kukaa, kuvaa viatu...kupiga kiwi.

Now shida tu.

Gongo tena mkuu![emoji134] [emoji2]
 
Ku.omb. he hupati tabu?​
Hhahahha...Napiga show kama kawa.

Ina maana na hili huwapata wenye vitambi?! Inabidi nione mikakati ya kukiondoa.

Ila kitambi kuna raha zake[emoji2] ...unaonekana kama Bosi vile
 
Back
Top Bottom