Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjusi kabanwa kwenye mlango. Bado wataropoka sana.Nimemsiki Grayson Msigwa akidadavua mafanikio ya awamu ya 5. Wamegawa vitambulisho vya machinga 1,600,000 @ sh. 20,000/- Jumla sh. 32,000,000,000/-. Sijui Kama CAG anajua zilipo.
Zimetumika kwenu kununua dagaa kwa ajili ya kitoweo!Mjusi kabanwa kwenye mlango. Bado wataropoka sana.
Watuambie hizo fedha zimetumika wapi maana kwenye budget ya seriaka hazikuonekana.
Nimemsiki Grayson Msigwa akidadavua mafanikio ya awamu ya 5. Wamegawa vitambulisho vya machinga 1,600,000 @ sh. 20,000/- Jumla sh. 32,000,000,000/-. Sijui Kama CAG anajua zilipo.
Huyu Lissu ndiyo maana waliamua kumpiga risasi. Mtu kaja juzi tu,Mjusi kabanwa kwenye mlango. Bado wataropoka sana.
Watuambie hizo fedha zimetumika wapi maana kwenye budget ya seriaka hazikuonekana.
Hivi msigwa ndio mkurugenzi wa TRA?
CAG yupi huyu au yuleNimemsiki Grayson Msigwa akidadavua mafanikio ya awamu ya 5. Wamegawa vitambulisho vya machinga 1,600,000 @ sh. 20,000/- Jumla sh. 32,000,000,000/-. Sijui Kama CAG anajua zilipo.
CAG yupi huyu au yule
Kuna dhambi gani kuwa na ndege? Mnataka tutembelee punda kama wote wajuba vile?..zitakuwa zimeenda kununulia midege.
..na midege yote inatengenezwa ktk nchi za mabeberu.
..yaani tunawakamua vijana wetu kwenda kustawisha ajira ktk viwanda vya mabeberu.
..halafu wanatuambia tuko ktk vita vya kiuchumi na mabeberu.
Kuna dhambi gani kuwa na ndege? Mnataka tutembelee punda kama wote wajuba vile?
Du kumbe wajinga ndio tuliwao.TRA hawakuwa na mamlaka na hizo fedha za vitambulisho. Hizo fedha zilikuwa chini ya ofisi ya rais (Ilikuwa biashara haramu ya ikulu), na msigwa ndiye msemaji wake.
Vipi Zina control number,au zinaenda Jenga hotelNimemsiki Grayson Msigwa akidadavua mafanikio ya awamu ya 5. Wamegawa vitambulisho vya machinga 1,600,000 @ sh. 20,000/- Jumla sh. 32,000,000,000/-. Sijui Kama CAG anajua zilipo.
Atuli ndege,zitakusaidie kuwarudisheni kwenuKuna dhambi gani kuwa na ndege? Mnataka tutembelee punda kama wote wajuba vile?