RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
Ukichunguza vitambulisho vya NIDA vingi vina makosa kwenye vipengele mbalimbali, unaweza kuwa ni ile card inataarifa vizuri kabisa inayoonyesha taarifa zako kama kwenye birth certificate vizuri kabisa ila ile namba ikiingizwa kwenye system inayosoma card yako ikaleta details tofauti kabisa kama jinsia, mwaka wa kuzaliwa na taarifa nyingine
Kwa kifupi wakati wa uandikishaji zile forms tulizokuwa tunajaza nyingi zilikuwa zinapotea au kuchanganywa yaani unakuta form ya katikati imechomoka ila mtu aliyeajiriwa kufanya kazi ya data inputs hajiangaishi anaforge taarifa au anajaza gap kwa taarifa za mtu mwingine.
Ili swala makampuni ya simu yanalifahamu ila hawawezi kusema maana wao wanajali kuingiza pesa kusajili watu kwenye biashara zao
Na ilikuwaje zoezi alikuwa na awamu ya marekebisho,? Inamaana lilifanyika kikamilifu 100%
Ndo maana bank zinazojielewa hawataki kitambulisho cha NIDA pekee kufungua account maana wanajua ivyo vitambulisho vingi vimekosewa taarifa zake
Ombi langu kwa serikali ni kuanzisha zoezi la kurekebisha makosa yaliyofanyika kwenye vitambulisho vya utaifa maana kuna watu wameandikiwa Female badala ya male pia majina yamekosewa baadhi , ilo ni tatizo
Kwa kifupi wakati wa uandikishaji zile forms tulizokuwa tunajaza nyingi zilikuwa zinapotea au kuchanganywa yaani unakuta form ya katikati imechomoka ila mtu aliyeajiriwa kufanya kazi ya data inputs hajiangaishi anaforge taarifa au anajaza gap kwa taarifa za mtu mwingine.
Ili swala makampuni ya simu yanalifahamu ila hawawezi kusema maana wao wanajali kuingiza pesa kusajili watu kwenye biashara zao
Na ilikuwaje zoezi alikuwa na awamu ya marekebisho,? Inamaana lilifanyika kikamilifu 100%
Ndo maana bank zinazojielewa hawataki kitambulisho cha NIDA pekee kufungua account maana wanajua ivyo vitambulisho vingi vimekosewa taarifa zake
Ombi langu kwa serikali ni kuanzisha zoezi la kurekebisha makosa yaliyofanyika kwenye vitambulisho vya utaifa maana kuna watu wameandikiwa Female badala ya male pia majina yamekosewa baadhi , ilo ni tatizo