Vitambulisho vya NIDA vipo stoo. Vingine ni feki vinafutika. Nani alaumiwe?

Vitambulisho vya NIDA vipo stoo. Vingine ni feki vinafutika. Nani alaumiwe?

robbyr

Senior Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
129
Reaction score
221
images (1).jpeg

Kama mtanzania naandika hili machozi yakimwagika. Naumia kwa namna pesa nyingi za watanzania zilivyoteketea kwa kisingizio cha vitambulisho.

Kipindi cha Kikwete pesa zililiwa hadharani. Kipindi cha Magufuli Simba Chawane akasema inakuja mashine kubwa na tatizo litaisha.

Yawezekana limeisha kwa kuweka pesa mfukoni kwani nimepata kitambulisho changu juzi. Maskini wangu wino unafutika. Hivyo havina ubora. Je, nani anahujumu serikali.

Utaratibu wa kutoa umekuwa mbovu, baada ya kulundika vitambulisho basi wameamua kutoa vitambulisho ambavyo vimeenda kujazwa kwenye vijiji na vituo mbalimbali huku kila mtanzania akihaha kupata. Je, kama taifa tumefanikiwa nini?

Jamani hata kutoa vitambulisho vya NIDA tu😭

Sasa hivi hata ukipeleka ombi la kupata kitambulisho au kurekebisha walioachwa kwenye vituo vanataka pesa koz hakuna usimamizi unaoeleweka.

Mheshimiwa Rais naomba utoe tamko na kama kuna uzembe basi watu wawajibike kama nchi nyingine tuache tabia ya kulindana hatutafika.
 
View attachment 3197405
Kama mtanzania naandika hili machozi yakimwagika. Naumia kwa namna pesa nyingi za watanzania zilivyoteketea kwa kisingizio cha vitambulisho.

Kipindi cha Kikwete pesa zililiwa hadharani. Kipindi cha Magufuli Simba Chawane akasema inakuja mashine kubwa na tatizo litaisha.

Yawezekana limeisha kwa kuweka pesa mfukoni kwani nimepata kitambulisho changu juzi. Maskini wangu wino unafutika. Hivyo havina ubora. Je, nani anahujumu serikali.

Utaratibu wa kutoa umekuwa mbovu, baada ya kulundika vitambulisho basi wameamua kutoa vitambulisho ambavyo vimeenda kujazwa kwenye vijiji na vituo mbalimbali huku kila mtanzania akihaha kupata. Je, kama taifa tumefanikiwa nini?

Jamani hata kutoa vitambulisho vya NIDA tu😭

Sasa hivi hata ukipeleka ombi la kupata kitambulisho au kurekebisha walioachwa kwenye vituo vanataka pesa koz hakuna usimamizi unaoeleweka.

Mheshimiwa Rais naomba utoe tamko na kama kuna uzembe basi watu wawajibike kama nchi nyingine tuache tabia ya kulindana hatutafika.

"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Nadhani Kuna watu wachache walipewa dhamana ndo wanashindwa zitumikia mbona Kuna baadhi ya wizara Zina uangalau kwenye utendaji kazi wake
 
Mimi cha kwangu kilitoka , kwa kuwa sikua mkoa ule ilinichukua muda kukifata nilipofika nikaambiwa kimefutika kwa hivyo vimerudishwa vikatengenezwe upya
Sasa changu nafanyaje mkuu
 
Nilaumuni mimi!, mimi ndo nilivifuta!
 
Ukienda mipakani raia wengi wamevimiliki wa nchi jirani


Ukienda Burundi wamejaa wanavyo vya kutosha Tena wanakuja kuchukua na vya kupigia kura hii iwafikie serikali sisi raia wema tunatoa taarifa
 
Ukienda mipakani raia wengi wamevimiliki wa nchi jirani


Ukienda Burundi wamejaa wanavyo vya kutosha Tena wanakuja kuchukua na vya kupigia kura hii iwafikie serikali sisi raia wema tunatoa taarifa
Kuna mfanyakazi mmoja wa TANESCO ambaye ana passport ya TZ na Rwanda, ana vitambulisho vitatu vya NIDA vyenye majina tofauti.
 
Ukienda mipakani raia wengi wamevimiliki wa nchi jirani


Ukienda Burundi wamejaa wanavyo vya kutosha Tena wanakuja kuchukua na vya kupigia kura hii iwafikie serikali sisi raia wema tunatoa taarifa
Duh!!
 
Ukienda mipakani raia wengi wamevimiliki wa nchi jirani


Ukienda Burundi wamejaa wanavyo vya kutosha Tena wanakuja kuchukua na vya kupigia kura hii iwafikie serikali sisi raia wema tunatoa taarifa
Mimi kwetu ni kigoma, kwa hili nakubaliana na wewe warundi wanavyo wengi
 
Ukienda mipakani raia wengi wamevimiliki wa nchi jirani


Ukienda Burundi wamejaa wanavyo vya kutosha Tena wanakuja kuchukua na vya kupigia kura hii iwafikie serikali sisi raia wema tunatoa taarifa
Wewe hakuna utakachosaidiwa fanya mambo mengine hii inaelekea kua Shamba la Bibi
 
Back
Top Bottom