Vitambulisho vya Taifa vya ibua sura mpya Nchini Uganda

Vitambulisho vya Taifa vya ibua sura mpya Nchini Uganda

Pistol

Senior Member
Joined
Oct 13, 2015
Posts
194
Reaction score
86
attachment.php



Raia wa Uganda waliosajiliwa vitambulisho vya Taifa, na hawajivichukua bado, vinaweza kupelekwa Mahakamani na kutozwa faini.

Onyo hilo limetoka kwa viongozi wa Mradi huo wa vitambulisho vya taifa baada ya kadi Zaidi ya Milioni kubaki bila kuchukuliwa na wahusika katika Makao Makuu ya wilaya zote Nchini.

Maafisa wa Mradi huo,ambao upo chini ya Wizara ya mambo ya ndani, wametoa kauli ya mwisho kufikia Februari 2016 iwe mwisho kwa wamiliki kuchukua kadi zao.






 

Attachments

  • 10006636_437428293059267_5139128506290495764_n.jpg
    10006636_437428293059267_5139128506290495764_n.jpg
    20.5 KB · Views: 348
Back
Top Bottom