Habari zenu. Mimi na mume wangu tunauza vitanda 4 vya futi 3 kwa futi 6 viko 4 maeneo ya kibaha kulikuwa na mradi wa ufugaji ngombe Sasa mradi haupo Tena. Vitanda vilitumika kwa wafanyakazi kulalia.
Kila kimoja sh 30,000 na vimetengenezwa kwa mbao ya mkongo. Mgumu sana.
Mpigie mume wangu 0758308193
Kila kimoja sh 30,000 na vimetengenezwa kwa mbao ya mkongo. Mgumu sana.
Mpigie mume wangu 0758308193