Vitanda 4 vya futi 3 x futi 6 vinauzwa

Vitanda 4 vya futi 3 x futi 6 vinauzwa

0704

Member
Joined
Aug 1, 2024
Posts
23
Reaction score
20
Habari zenu. Mimi na mume wangu tunauza vitanda 4 vya futi 3 kwa futi 6 viko 4 maeneo ya kibaha kulikuwa na mradi wa ufugaji ngombe Sasa mradi haupo Tena. Vitanda vilitumika kwa wafanyakazi kulalia.

Kila kimoja sh 30,000 na vimetengenezwa kwa mbao ya mkongo. Mgumu sana.

Mpigie mume wangu 0758308193
IMG_20240814_133657.jpg
 
Back
Top Bottom