Vitanda 4 vya futi 3 x futi 6 vinauzwa

0704

Member
Joined
Aug 1, 2024
Posts
23
Reaction score
20
Habari zenu. Mimi na mume wangu tunauza vitanda 4 vya futi 3 kwa futi 6 viko 4 maeneo ya kibaha kulikuwa na mradi wa ufugaji ngombe Sasa mradi haupo Tena. Vitanda vilitumika kwa wafanyakazi kulalia.

Kila kimoja sh 30,000 na vimetengenezwa kwa mbao ya mkongo. Mgumu sana.

Mpigie mume wangu 0758308193
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…