Vitanda vya zege kwenye gesti

Nimecheka Sana kwa maana nilikutana Na moja maeneo ya kigambon Kama unaenda kisiwan upande WA kushoto.

No kelele no kwere kukuruka mwanangu,
Tanzania Kuna zaid ya maajabu,
ha ha haaaaaaa........
 
Nimecheka Sana kwa maana nilikutana Na moja maeneo ya kigambon Kama unaenda kisiwan upande WA kushoto.

No kelele no kwere kukuruka mwanangu,
Tanzania Kuna zaid ya maajabu,
ha ha haaaaaaa........
maeneo ya kwa steven pale hakika ile ni burudani.. Ndio kiwanja cha nyumbani kile
 
Nadhani ni njia rahisi ya kubana matumizi. hata mimi nimeshawahi kulala gesti yenye kitanda cha zege hapo Dar! ile gesti nilitokea kuichukia sana na niliapa kutokwenda kulala pale tena. Sikuvutiwa na aina ile ya kitanda kwa kweli.

mbaya zaid wanaweka yale magodoro ya promotion, yaan Ni Kama unagusana Na zege utageuka kila upande Kama umelala chin.....ila naskia wamefanya hivyo kwa maana wale WA short time wanaokimbizana Na muda wanavunja xna vitanda.
 
maeneo ya kwa steven pale hakika ile ni burudani.. Ndio kiwanja cha nyumbani kile

kumbe mpo, pale ndiyo Mara ya kwanza kukutana Na kitanda cha zege nilicheka Sana kimoyomoyo nikasema hapa wamekomesha? 2013ilikuwa.
 
Hasa hasa mbelikwe guest house na mama mage guest house yani hapana kwakweli
Bora umbwe na keko guest house vipo vya chuma
Huko kote umeshawahi kulala?huyo aliyekupeleka alikudharau uje?wewe ni wa giraffe hotel
 
Kuna sehemu moja nilikwenda duh nilipata moto kweli kama umelala juu ya jeneza
 
habarini wadau, hivi ni kwa nini baadhi ya gesti huwa zina vitanda vya zege..


umezidi kutumia acrobat nyingi wakati unasex na ndio maana umekuwa ukivunja vitanda vyao, wameona ni heri wakujengee vitanda vya zege tuu
 
duh!! hii ya vitanda vya zege sikuwahi kuisikia wala kukutana navyo asee
 
Hii itatusaidia sisi wapenda MIZIGO, hakuna wasi wa kuvunja vitanda tena, ni kuwahenyesha vibonge kimya kimya tu
 
Hasa hasa mbelikwe guest house na mama mage guest house yani hapana kwakweli
Bora umbwe na keko guest house vipo vya chuma
Nahitaji kufungua gesti na mimi naomba unipeleke katika mojawapo ya ulizozitaji nikaige mbinu hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…