Sorry eh Babu
Ila mbona mmeanzisha soga jingine lolh kumbe nimekosea
by the way Babu unanidai!
Ubongo wangu wa kichina unaniambia hapo umenitukana. Unless you apologise...............!
We sasa unataka kuchochea moto wa hasira ya Babu yangu. hebu nshamtaka radhi na AMENISAMEHE TAYARI.hahaaa hata bau yako naye yumo?
MJ1 dearest, mimi mbado hiyo mambo lakini pia haitakuwepo kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
unless u convice me otherwise......huwa lengo lake ni nini kwani??
Ntayalipa Babu nitayalipa kitchen party hapana babu niko chini ya miguu yako na macho nimefumbaMadeni ni mengi sijui kama yote utaweza kuyalipa.
Labda kama utakuwa radhi nikufanyie kitchen party......
hahaaa hata bau yako naye yumo?
MJ1 dearest, mimi mbado hiyo mambo lakini pia haitakuwepo kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
unless u convice me otherwise......huwa lengo lake ni nini kwani??
aaaah gotch you!! mi nshamaliza kuisherekea last week!!!! ila msaada naendelea kutoa kama kawaida
sikusahau lakini kumbuka pale mimi nilikwambia ntakutafuta tu no mata wat....lakini biggy ukanidharau!!! (am not suprised that u 4got)lol!!
anyway umeamka maana ile hali ilikuwa tishio
Halafu tunalalamika tu masikini lol kumbe tunainvest pasipo!! jamani afadhali umenisaidia nawe Nyani ingawa mie sikuangalia kwa mtazamo huo.This is just a buffoonery misuse of resources!
Kale kakitu naona kanaogopa posts zako mamushka. Kila napotaka ko do the needful kanapotea! Ngoja nikavizie labda ntakafumania.ile batani huioni na wewe leo?? au wewe ukoo wa Iskarioti??
Kakague kule mchumba.Mchumba mwenye ubongo wa kichina? ohhh my God,kabila langu limekukosea nini? au limekusikitisha nini?
Hapo utakapofunga macho ndipo utakapokosea sasa...........Ntayalipa Babu nitayalipa kitchen party hapana babu niko chini ya miguu yako na macho nimefumba
Bora uwaambie maana mie nilihisi walizawadiwa mikeka ile ya kupigia stori maana wamesogoa hadi bht kaunguza mboga jikoni!!Nyie nyie nyie kumbe chat imeshaondolewa eeh ..am kiddin'
We sasa unataka kuchochea moto wa hasira ya Babu yangu. hebu nshamtaka radhi na AMENISAMEHE TAYARI.
Hahahahh zamani lengo lilikuwwa kumfunda mwali namna ya kuishi na mume ila siku hizi lengo ni kukupatia vitu vya kuanzia maish. So do not bother buying vitanda, kabati, TV au sofa just wait kitchen partyyo!
Unafundwa jinsi ya kutumia 6 kwa sita vizuri..........
Ukifumania usamehe...........
Usiridhike na figa moja ili mradi usifumaniwe.......
Na mambo mengine kama hayo.
Bora uwaambie maana mie nilihisi walizawadiwa mikeka ile ya kupigia stori maana wamesogoa hadi bht kaunguza mboga jikoni!!
jameni mi sio mchonganishi, afu na wewe uache soga!!!
aaaah mi staki hayo mambo kwa kweli!!! hujanishawishi bado
biggy mi nayajua yote hayo sitaki marudio , ntaboeka!!! aftaroo najua ntayatatua hayo my own way, sihitaji mtu anifundishe njia zake kwani zina apply kwa kila kesi??
This is just a buffoonery misuse of resources!
Halafu tunalalamika tu masikini lol kumbe tunainvest pasipo!! jamani afadhali umenisaidia nawe Nyani ingawa mie sikuangalia kwa mtazamo huo.
Sasa mwali akishaingia na mizawadi hiyo yote, nawe mume ukawa ulishajinunulia vyako mnafanyaje? Au vingine huwa vinabakia nyumbani kwa wazazi wa mke eh?
hapo nimepasoma shem!!
your own way? unaanza kunitia mashaka sasa.
Labda inawasaidia kuanza maisha!