Vitendo hivi vya mke wangu ni kawaida

Vitendo hivi vya mke wangu ni kawaida

Kasomeko

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
549
Reaction score
975
Bila shaka mko powa wananzengo wenzangu!! Nawapa visa vya kweli vya mke wangu ambavyo siwezi kumpa mtu yeyote isipokua nyie coz hatujuani✍️✍️

Huu ni mwaka wa nane tangu tuanzishe uhusiano na ni mwaka wa sita tangu tuanze kuishi kama mama na baba .

Sijawahi kuuona utupu wake (naomba uniamini) mke wangu hataki kabisa kufanya majambozy kwenye mwanga. Kuvua atavua kwenye mwanga mfano katoka kuoga anapaka vipodozi hapo niko huru kuangalia uzuri wake lakin juu juuu tu.

Tangu nimuoe sijawahi kupewa nje ya chumbani! Yaani ni chumbani tu hakuna cha sebleni jikoni chumba cha wageni bafuni au shambani katikati ya mazao anakwambia yeye sio malaya wa kuvua kila sehemu.

Sijawahi kupewa mchana, mapocho pocho yote ni kuanzia saa 5 usiku chini ya hapo unatafta ugomvi. Hapa sababu zake kubwa ni nyumba yetu haina fens so watu wanapita karibu na madirisha. Mara watoto wapo nje wakija je? Mara husikii hapo nje watu wanaongea yaani nshazoea hakunaga mahanjumat mchana wala asubuh nkipitiwa usingz had saa 12 ndo imepita hiyo mamboz n saa 5 usiku had 11 kamil kosa ipite boda unaambiwa kazana mda umeisha kumekucha huskii boda hzo?

Uongo dhambi wanajamvi sijawah kupewa zaid ya ile wanaita kibibi bibi na kibabu babu aka mama mchungaj na baba mchungaj. Wife ni mkali ukimbenjua yan hataki umgonoe au umjambishe mawingu, hapo unataka kulala njaa. Hizo maujinga zako peleka huko huko kwa wahuni wenzako hapa uwe na heshima kwani ukiweka hivi hivi humalizi?

Wife hajawahi kukatika, hajawah kuachia denda wala kiss, hapendi kuandaliwa anasemaga wewe ingiza uchuge ukitosha towa tulale.

Wife akibahatika kutangulia kupata kabao kake kamoja basi na gem limeishia hapo labda nimbane kibabe kabisa ndo namimi nakuja kwa mbinde sana .

We fikilia unatumia nguvu ngoma ibakimo afu bado unatumia nguvu ufikie lengo apoapo unatumia akili usikojoleemo ukaleta mimba, siku za hatar hazjui coz mp zake ziko varu varu, condom hataki hata kuiskia, majira sijui njiti kwake ni dhambi ndo nkaja na opt ya ku withdraw!!!

Huyu wife hajawah kunianza m ndo naanzaga dailly ikitokea nkajikausha unaweza kupita mwezi na kitu bilabila.

Tofauti na mamboz wife yuko poa sana kwenye mambo mengine.

Hebu wadau semen kitu ni kawaida kwa baadh ya mawaifu ama n wangu tu??

NOTE WELL, nilimkuta bado mpya hilo nna uhakika.
 
Huyo ndiyo mzuri ,hata mimi sipendi "KURA MCHANA" ,wife anapenda "KURA MCHANA"....

Nilitaka kukuuliza kama antena anayo lakini ulishasema kwamba haujawahi kuona "SAMBUSA".

Je Utelezi Upogo au Pangu pakavu tia mchuzi?
 
Bila shaka mko powa wananzengo wenzangu!! Nawapa visa vya kweli vya mke wangu ambavyo siwezi kumpa mtu yeyote isipokua nyie coz hatujuani✍️✍️

Huu ni mwaka wa nane tangu tuanzishe uhusiano na ni mwaka wa sita tangu tuanze kuishi kama mama na baba .

Sijawahi kuuona utupu wake (naomba uniamini) mke wangu hataki kabisa kufanya majambozy kwenye mwanga. Kuvua atavua kwenye mwanga mfano katoka kuoga anapaka vipodozi hapo niko huru kuangalia uzuri wake lakin juu juuu tu.

Tangu nimuoe sijawahi kupewa nje ya chumbani! Yaani ni chumbani tu hakuna cha sebleni jikoni chumba cha wageni bafuni au shambani katikati ya mazao anakwambia yeye sio malaya wa kuvua kila sehemu.

Sijawahi kupewa mchana, mapocho pocho yote ni kuanzia saa 5 usiku chini ya hapo unatafta ugomvi. Hapa sababu zake kubwa ni nyumba yetu haina fens so watu wanapita karibu na madirisha. Mara watoto wapo nje wakija je? Mara husikii hapo nje watu wanaongea yaani nshazoea hakunaga mahanjumat mchana wala asubuh nkipitiwa usingz had saa 12 ndo imepita hiyo mamboz n saa 5 usiku had 11 kamil kosa ipite boda unaambiwa kazana mda umeisha kumekucha huskii boda hzo?

Uongo dhambi wanajamvi sijawah kupewa zaid ya ile wanaita kibibi bibi na kibabu babu aka mama mchungaj na baba mchungaj. Wife ni mkali ukimbenjua yan hataki umgonoe au umjambishe mawingu, hapo unataka kulala njaa. Hizo maujinga zako peleka huko huko kwa wahuni wenzako hapa uwe na heshima kwani ukiweka hivi hivi humalizi?

Wife hajawahi kukatika, hajawah kuachia denda wala kiss, hapendi kuandaliwa anasemaga wewe ingiza uchuge ukitosha towa tulale.

Wife akibahatika kutangulia kupata kabao kake kamoja basi na gem limeishia hapo labda nimbane kibabe kabisa ndo namimi nakuja kwa mbinde sana .

We fikilia unatumia nguvu ngoma ibakimo afu bado unatumia nguvu ufikie lengo apoapo unatumia akili usikojoleemo ukaleta mimba, siku za hatar hazjui coz mp zake ziko varu varu, condom hataki hata kuiskia, majira sijui njiti kwake ni dhambi ndo nkaja na opt ya ku withdraw!!!

Huyu wife hajawah kunianza m ndo naanzaga dailly ikitokea nkajikausha unaweza kupita mwezi na kitu bilabila.

Tofauti na mamboz wife yuko poa sana kwenye mambo mengine.

Hebu wadau semen kitu ni kawaida kwa baadh ya mawaifu ama n wangu tu??

NOTE WELL, nilimkuta bado mpya hilo nna uhakika.
Nipe namba yake
 
Huyo ndiyo mzuri ,hata mimi sipendi "KURA MCHANA" ,wife anapenda "KURA MCHANA"....

Nilitaka kukuuliza kama antena anayo lakini ulishasema kwamba haujawahi kuona "SAMBUSA".

Je Utelezi Upogo au Pangu pakavu tia mchuzi?
Antena ipo mkuu hyo akichangamka unaifeel na mtelezo upo. We mkeo anataka mchana but hana mashart
 
Ongera kwa kuoa bikra mkuu, mwanamke anakuwa na adabu na heshima na mwili wake hadi raha.

Mvumilie tu mkuu huku ukizidi kumsahihisha kwa kumwelewesha bila kuchoka. Heri mwenye mapungufu hayo kuliko mwanamke mdangaji, jeuri, mjuaji n.k
 
Mtafutie somo amfunde huyo sasa raha ya tendo iko wapi? 😃😃😃
😂😂😂 Hao sinikabla ya ndoa mkuu, huyu kule kwao sijui kama wanafundwa coz n walokole ila cha ajabu siku ya kwanza alitandka shuka jeupee afu akalituma kwao kwa bus then nkadaiwa laki mbili ya shukran kwa shangaz coz ndo aloenda kulifua hlo shuka lenye damu na had leo lipo kwake
 
Back
Top Bottom