Vitendo hivi vya mke wangu ni kawaida

We mama wewe
 
Kuna mtu anashughulika apo...we unamchafua tu
 
Wanawake wanatofautiana sana, kuna wanawake wengine hawapendi sana kutiana hapa naongelea waliopo kwenye ndoa, yan mwanaume mpaka atumie nguvu nyingi sana kumshawishi ndio ukubali kwa masharti mazito aswaaa pia kuna wanawake wanapenda sana kugongana hapa unaweza ukashtuliwa njoo tugongane yani achoki muda wote, sasa uyo shemeji yetu dizaini wale wanawake ambao hawapendi sana mapenzi yaani sio kipaumbele ivyo auna namna hapo kuvumilia tu
 
Hahaa mke WA kinyambo ukibahatika aisee unakua umepata mke ...! Nadhani na wewe ulibahatika Tunza hyo Mali
 
Kumbe tupo wngi humu nilifikiri in Mimi tu na wakwangu
 
Swala dogo sana hilo. Tafuta kamchepuko ka nje uwe unaiba mara moja moja. Haya maisha tunaishi mara moja
 
Baltahzar 400 kapita nao nje shabambai porini hivi ofisini etc sasa nyie endeleeni mnapendana wenyewe mlioana wenyewe ......
 
Hujawahi hata kumnyoa mavuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…