Pre GE2025 Viti maalum viwe na ukomo, mnabebana miaka 15-25

Pre GE2025 Viti maalum viwe na ukomo, mnabebana miaka 15-25

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wapendwa Leo nimeona niwaombe radhi kwa nitakaowaudhi. Kama kuna kitu kinanisikitisha kwenye SIASA zetu ni kutokuwa na UKOMO VITI MAALUM

Hiki kiti kumekuwa kama mwenye nacho apewe maana kuna AMBAO wako kule milele kama wamezaliwa na bunge

KUNA AMBAO wamestaafu lakini ukiambiwa alikuwa mbunge miaka 20 unaweza hisi alikuwa na Jimbo kumbe vitimaalum

Aliulizwa mzee Mbowe kule Moshi kuna ukoo MMOJA una WABUNGE watatu

Akaulizwa Hawa watu wako bungeni zaidi ya miaka 20. Sasa wewe huoni mnahitaji kufanya mabadiliko ya katiba ikiwemo KUWEPO na kikomo cha VITI MAALUM

ANyway

N USHAURI tu ikiwezekana miaka 5 inatosha Wapenii wengine wale wakagombee kwenye jimbooooo

Mlifanya hivi wakiwa bungeni watajitahidi kueatendea vyema wananchi ili wakachaguliweeew

Haya mambo ya kueekana bungeni miaka 10-15-20-25
TUSEME imetosha
Chama changu CCM
Na wapinzani TUNAOMBA haya mambo yabafilike TUSEME yametosha

Kuna ambao hawana MPANGO HATA WA kugombea wanawaza watawateka wangapi ili akachaguliwe Tena

Akijua ikifika mitano anaondoka NAKWAMBIA wallahi Hawa watu watapambana kusaidia jamii hamtakaa muamini wakitegemea kuchaguliwa kwenye jimboo

Hivi vyeo tufike WAKATI VIWE vya kutengeneza WABUNGE WA jimboo watarajiwa na visiwe vyeo vya kupeana ama kulindana ana kuwa vyeo vya milele

Kila la kheri mtakaochaguliwa MJIPANGE kugombea ondoeni akili ya kupambana urudi tena
 
Naunga mkono hoja
Too much kwakweli

Lissu tuone mabadiriko kuanzia huko cdm
 
WAPENDWA Leo nimeona niwaonbe radhi kwa ntakaowaudhi

Kama kuna kitu kinansikitisha kwenye SIASA zetu n kutakuwa na UKOMO VITI MAALUM

Hiki kiti kumekuwa kama mwenye nacho apewe maana kuna AMBAO wakoo kule milele kama wamezaliwa na bunge

KUNA AMBAO wamestaafu lakini ukiambiwa alikuwa mbunge miaka 20. Unaweza hisi alikuwa na Jimbo kumbe vitimaalum

Aliulizwa mzee mbowe kule moshi kuna ukoo MMOJA una WABUNGE watatu

Akaulizwa Hawa watu wako bungen zaidi ya miaka 20. Sasa he huoni mnahitaji kufanya mabadiliko ya katiba ikiwemo KUWEPO na kikomo cha VITI MAALUM

ANyway

N USHAURI tu ikiwezekana miaka 5 inatosha Wapenii wengine wale wakagombee kwenye jimbooooo

Mlifanya hivi wakiwa bungeni watajitahidi kueatendea vyema wananchi ili wakachaguliweeew

Haya mambo ya kueekana bungeni miaka 10-15-20-25
TUSEME imetosha
Chama changu ccm
Na wapinzani TUNAOMBA haya mambo yabafilike TUSEME yametosha

Kuna ambao hawana MPANGO HATA WA kugonbea wanaawaza wataawateka wangapi ili akachaguliwe Tena

Akijua ikifika mitano anaondoka NAKWAMBIA wallahi Hawa watu watapambana kusaidia jamii hamtakaa muamini wakitegemea kuchaguliwa kwenye jimboo

Hivi vyeo tufike WAKATI VIWE vya kutengeneza WABUNGE WA jimboo watarajiwa na visiwe vyeo vya kupeana ama kulindana ana kuwa vyeo vya milele

Kila la kheri mtakaochaguliwa MJIPANGE kugonbea ondoen akili ya kupambana urudi tena
Vifutwe havina tija
 
Vifutwe haraka, viti maalum wana wakilisha nani bungeni? ni matumizi mabaya ya fedha za umma
 
Naunga mkono hoja
Too much kwakweli

Lissu tuone mabadiriko kuanzia huko cdm
Kabisa mkuuu
Kule Moshi sikuwa na jua kuna ukoo wako bungeni miaka 20 wanapitia VITI MAALUM..na ykiulixa kwani hakuna wengine huko Moshi issue inakuja mzigo helaa wenye visu ndio wanakimbilia ndio maana kuna KIPINDI niliwaza hivi vyeoo pengine kuna kutoa mzigo unabandikwa aiwezekana kila uchaguzi wewe wewe wamekuwa nani
 
WAPENDWA Leo nimeona niwaonbe radhi kwa ntakaowaudhi

Kama kuna kitu kinansikitisha kwenye SIASA zetu n kutakuwa na UKOMO VITI MAALUM

Hiki kiti kumekuwa kama mwenye nacho apewe maana kuna AMBAO wakoo kule milele kama wamezaliwa na bunge

KUNA AMBAO wamestaafu lakini ukiambiwa alikuwa mbunge miaka 20. Unaweza hisi alikuwa na Jimbo kumbe vitimaalum

Aliulizwa mzee mbowe kule moshi kuna ukoo MMOJA una WABUNGE watatu

Akaulizwa Hawa watu wako bungen zaidi ya miaka 20. Sasa he huoni mnahitaji kufanya mabadiliko ya katiba ikiwemo KUWEPO na kikomo cha VITI MAALUM

ANyway

N USHAURI tu ikiwezekana miaka 5 inatosha Wapenii wengine wale wakagombee kwenye jimbooooo

Mlifanya hivi wakiwa bungeni watajitahidi kueatendea vyema wananchi ili wakachaguliweeew

Haya mambo ya kueekana bungeni miaka 10-15-20-25
TUSEME imetosha
Chama changu ccm
Na wapinzani TUNAOMBA haya mambo yabafilike TUSEME yametosha

Kuna ambao hawana MPANGO HATA WA kugonbea wanaawaza wataawateka wangapi ili akachaguliwe Tena

Akijua ikifika mitano anaondoka NAKWAMBIA wallahi Hawa watu watapambana kusaidia jamii hamtakaa muamini wakitegemea kuchaguliwa kwenye jimboo

Hivi vyeo tufike WAKATI VIWE vya kutengeneza WABUNGE WA jimboo watarajiwa na visiwe vyeo vya kupeana ama kulindana ana kuwa vyeo vya milele

Kila la kheri mtakaochaguliwa MJIPANGE kugonbea ondoen akili ya kupambana urudi tena
NI kweli
 
Kabisa mkuuu
Kule Moshi sikuwa na jua kuna ukoo wako bungeni miaka 20 wanapitia VITI MAALUM..na ykiulixa kwani hakuna wengine huko Moshi issue inakuja mzigo helaa wenye visu ndio wanakimbilia ndio maana kuna KIPINDI niliwaza hivi vyeoo pengine kuna kutoa mzigo unabandikwa aiwezekana kila uchaguzi wewe wewe wamekuwa nani
Ni rushwa na ngono tupu
 
WAPENDWA Leo nimeona niwaonbe radhi kwa ntakaowaudhi

Kama kuna kitu kinansikitisha kwenye SIASA zetu n kutakuwa na UKOMO VITI MAALUM

Hiki kiti kumekuwa kama mwenye nacho apewe maana kuna AMBAO wakoo kule milele kama wamezaliwa na bunge

KUNA AMBAO wamestaafu lakini ukiambiwa alikuwa mbunge miaka 20. Unaweza hisi alikuwa na Jimbo kumbe vitimaalum

Aliulizwa mzee mbowe kule moshi kuna ukoo MMOJA una WABUNGE watatu

Akaulizwa Hawa watu wako bungen zaidi ya miaka 20. Sasa he huoni mnahitaji kufanya mabadiliko ya katiba ikiwemo KUWEPO na kikomo cha VITI MAALUM

ANyway

N USHAURI tu ikiwezekana miaka 5 inatosha Wapenii wengine wale wakagombee kwenye jimbooooo

Mlifanya hivi wakiwa bungeni watajitahidi kueatendea vyema wananchi ili wakachaguliweeew

Haya mambo ya kueekana bungeni miaka 10-15-20-25
TUSEME imetosha
Chama changu ccm
Na wapinzani TUNAOMBA haya mambo yabafilike TUSEME yametosha

Kuna ambao hawana MPANGO HATA WA kugonbea wanaawaza wataawateka wangapi ili akachaguliwe Tena

Akijua ikifika mitano anaondoka NAKWAMBIA wallahi Hawa watu watapambana kusaidia jamii hamtakaa muamini wakitegemea kuchaguliwa kwenye jimboo

Hivi vyeo tufike WAKATI VIWE vya kutengeneza WABUNGE WA jimboo watarajiwa na visiwe vyeo vya kupeana ama kulindana ana kuwa vyeo vya milele

Kila la kheri mtakaochaguliwa MJIPANGE kugonbea ondoen akili ya kupambana urudi tena
Unatukosea , kama tumeamua kuachana na mambo ya mabeberu, basi Upinde, Viti maalum, haki sawa ni mpango wa shetani kuvuruga jamii, hivyo tukatae viti maalum, be it kwa wanaume ama wanawake, kila mtu apambane jimboni.
Tume ipunguze majimbo , hatuhitaki wagonga meza wengi.
Mfano, Kasheku Msukuma anaweza kuwakilisha Mkoa mzima wa Geita.
 
Kabisa mkuuu
Kule Moshi sikuwa na jua kuna ukoo wako bungeni miaka 20 wanapitia VITI MAALUM..na ykiulixa kwani hakuna wengine huko Moshi issue inakuja mzigo helaa wenye visu ndio wanakimbilia ndio maana kuna KIPINDI niliwaza hivi vyeoo pengine kuna kutoa mzigo unabandikwa aiwezekana kila uchaguzi wewe wewe wamekuwa nani
🙄 Sio mchezo
Kwanza Bora vifutwe tu

Mi ningekuwa Rais
Mayor,viti maalumu,mkurigenzi ningefuta.
Abaki mkuu wa mkoa,wilaya, katibu
 
Wananchi tunapata tabu sana kama ukoko, wa kwanza kuiva ila wa mwisho kuliwa.
 
Back
Top Bottom