Pre GE2025 Viti Maalumu Kwa CCM ni nafasi za watoto wa Viongozi na Ndugu zao , MTU anakua Mbunge mpaka Sasa miaka 20 Bungeni !!

Pre GE2025 Viti Maalumu Kwa CCM ni nafasi za watoto wa Viongozi na Ndugu zao , MTU anakua Mbunge mpaka Sasa miaka 20 Bungeni !!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Viti Maalumu vimekua ni nafasi za wachache kujimilikisha Mali tu.

Hata kama ni Mtaji wa Biashara, miaka mitano haitoshi??

Vijana wako mtaani ,Moja haikai Wala Mbili !!.

Hata wa Makundi maalumu pia, Mbunge Keisha Kawa Mbunge zaidi ya miaka 10 , sijawah Msikia anachangia,,, ni kweli hamna Wanawake wengine wasomi, wenye ulemavu wa Ngozi ambao hawastahili hiyo nafasi zaidi ya Keisha miaka yote?

Viti Maalumu vimejaa watoto wa Viongozi na waliowahi kua viongozi.

CCM ni Jipu hamna namna unaweza kuelezea !.

Naungana na Lissu , viti maalumu viwe na ukomo
 
Hata wa Makundi maalumu pia, Mbunge Keisha Kawa Mbunge zaidi ya miaka 10 , sijawah Msikia anachangia,,, ni kweli hamna Wanawake wengine wasomi, wenye ulemavu wa Ngozi ambao hawastahili hiyo nafasi zaidi ya Keisha miaka yote?
Huenda yuko huko kuwachangia wakubwa wenye ndevu
 
Viti Maalumu vimekua ni nafasi za wachache kujimilikisha Mali tu.

Hata kama ni Mtaji wa Biashara, miaka mitano haitoshi??

Vijana wako mtaani ,Moja haikai Wala Mbili !!.

Hata wa Makundi maalumu pia, Mbunge Keisha Kawa Mbunge zaidi ya miaka 10 , sijawah Msikia anachangia,,, ni kweli hamna Wanawake wengine wasomi, wenye ulemavu wa Ngozi ambao hawastahili hiyo nafasi zaidi ya Keisha miaka yote?

Viti Maalumu vimejaa watoto wa Viongozi na waliowahi kua viongozi.

CCM ni Jipu hamna namna unaweza kuelezea !.

Naungana na Lissu , viti maalumu viwe na ukomo
Zamaninikiitwa undugunization aka imuseveni aka nepotism at best.
 
Hili la ukomo kwa Wabunge na madiwani wa viti maalum, halina mjadala..5 years INATOSHA

Pia natamani wangekuwa wanapigiwa kura
 
Back
Top Bottom