EMT Platinum Member Joined Jan 13, 2010 Posts 14,477 Reaction score 15,325 Nov 2, 2010 #1 Tunafuatilia zaidi matokeo ya ubunge na urais lakini kwenye viti vya udiwani vijana wamefanya kweli tofauti na ilivyokuwa chaguzi za nyuma ambapo wagombea walikuwa wazee waliostaafu. Mpaka vijana wa vijiweni wamefanya kweli kwenye viti vya udiwani.
Tunafuatilia zaidi matokeo ya ubunge na urais lakini kwenye viti vya udiwani vijana wamefanya kweli tofauti na ilivyokuwa chaguzi za nyuma ambapo wagombea walikuwa wazee waliostaafu. Mpaka vijana wa vijiweni wamefanya kweli kwenye viti vya udiwani.