Elections 2010 Viti vya Udiwani: Vijana Wachacharika

EMT

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
14,477
Reaction score
15,325
Tunafuatilia zaidi matokeo ya ubunge na urais lakini kwenye viti vya udiwani vijana wamefanya kweli tofauti na ilivyokuwa chaguzi za nyuma ambapo wagombea walikuwa wazee waliostaafu. Mpaka vijana wa vijiweni wamefanya kweli kwenye viti vya udiwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…