Pre GE2025 Viti vya wanawake bungeni viongezwe mpaka 50% ili tupate akina Samia wengi wanaoongoza kwa weledi

Pre GE2025 Viti vya wanawake bungeni viongezwe mpaka 50% ili tupate akina Samia wengi wanaoongoza kwa weledi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Dec 29, 2021
Posts
54
Reaction score
89
Wakuu,

Majirani zetu nchini Rwanda tayari wametuonyesha kwamba inawezekana kubadilisha hali ya siasa inayowabagua wanawake. Wamefanikiwa kufikia asilimia 63.75 ya wabunge wanawake katika nchi yao. Sasa sisi tunakwama wapi?

Ukiangalia bungeni wanawake ni 37%, hii haitoshi, maana kama wanawake wenye uwezo tunao, sasa kwanini tuna huu uwiano mbaya kwenye siasa? Ikiongezwa mpaka 50% italeta hamasa ya kushiriki na kupata mchango wao katika maendeleo ya nchi ambao kwa kiasi kikubwa unakosekana

Hili linaonesha kwenye vyama vya siasa hakuna jitihada za makusudi katika kuinua wanawake. Kwenye idadi ya watu wanawake na wanaume hatupishani sana, sasa kwa nini kuwe na gape kubwa sana linapokuja suala la kisiasa?

Wazee wa wanawake hawana uwezo blaa blaaa najua hamtakosa, kama ni hivyo kwanini tuna Rais mwanamke ambaye si tu anamalizia uongozi wake, yaani kaaminiwa tena kumalizia muhula wake wa pili?
 
Achaneni na hizo propaganda za mabeberu, hatuwezi kuendelea kwa kuongozwa na wanawake🐼
 
Hii boko sasa, wakati tunapambana kuondoa hao viti maalumu kwa kukosa tija, wewe unataka waongezwe!.
 
Wakuu,

Majirani zetu nchini Rwanda tayari wametuonyesha kwamba inawezekana kubadilisha hali ya siasa inayowabagua wanawake. Wamefanikiwa kufikia asilimia 63.75 ya wabunge wanawake katika nchi yao. Sasa sisi tunakwama wapi?

Ukiangalia bungeni wanawake ni 37%, hii haitoshi, maana kama wanawake wenye uwezo tunao, sasa kwanini tuna huu uwiano mbaya kwenye siasa? Ikiongezwa mpaka 50% italeta hamasa ya kushiriki na kupata mchango wao katika maendeleo ya nchi ambao kwa kiasi kikubwa unakosekana

Hili linaonesha kwenye vyama vya siasa hakuna jitihada za makusudi katika kuinua wanawake. Kwenye idadi ya watu wanawake na wanaume hatupishani sana, sasa kwa nini kuwe na gape kubwa sana linapokuja suala la kisiasa?

Wazee wa wanawake hawana uwezo blaa blaaa najua hamtakosa, kama ni hivyo kwanini tuna Rais mwanamke ambaye si tu anamalizia uongozi wake, yaani kaaminiwa tena kumalizia muhula wake wa pili?
Ok sawa na naona ni bora bunge lote liwe la wanawake peke yao. Iwe tu sifa kuu ya kuwa mbunge ni lazima uwe mwanamke, haijalishi elimu yake, kama si muadilifu na hata kama hujui lolote kuhusu siasa au serikali inavyoendeshwa as long as umezaliwa mwanamke basi unaingia bungeni!!! ppppsssshhhhhh!!!!!
 
Ok sawa na naona ni bora bunge lote liwe la wanawake peke yao. Iwe tu sifa kuu ya kuwa mbunge ni lazima uwe mwanamke, haijalishi elimu yake, kama si muadilifu na hata kama hujui lolote kuhusu siasa au serikali inavyoendeshwa as long as umezaliwa mwanamke basi unaingia bungeni!!! ppppsssshhhhhh!!!!!
Hujaelewa hoja yangu kabisa
 
Wakuu,

Majirani zetu nchini Rwanda tayari wametuonyesha kwamba inawezekana kubadilisha hali ya siasa inayowabagua wanawake. Wamefanikiwa kufikia asilimia 63.75 ya wabunge wanawake katika nchi yao. Sasa sisi tunakwama wapi?

Ukiangalia bungeni wanawake ni 37%, hii haitoshi, maana kama wanawake wenye uwezo tunao, sasa kwanini tuna huu uwiano mbaya kwenye siasa? Ikiongezwa mpaka 50% italeta hamasa ya kushiriki na kupata mchango wao katika maendeleo ya nchi ambao kwa kiasi kikubwa unakosekana

Hili linaonesha kwenye vyama vya siasa hakuna jitihada za makusudi katika kuinua wanawake. Kwenye idadi ya watu wanawake na wanaume hatupishani sana, sasa kwa nini kuwe na gape kubwa sana linapokuja suala la kisiasa?

Wazee wa wanawake hawana uwezo blaa blaaa najua hamtakosa, kama ni hivyo kwanini tuna Rais mwanamke ambaye si tu anamalizia uongozi wake, yaani kaaminiwa tena kumalizia muhula wake wa pili?
Umesahau kuweka namba incase you never know
 
Wachache waliopo wamefanya nn cha ziada zaida ya kubebwa bebwa, ni lini Sa 100 ameshindanishwa na wanaume na akawashind, naona anabebwa bebwa na weaknesses zake..
 
Wakuu,

Majirani zetu nchini Rwanda tayari wametuonyesha kwamba inawezekana kubadilisha hali ya siasa inayowabagua wanawake. Wamefanikiwa kufikia asilimia 63.75 ya wabunge wanawake katika nchi yao. Sasa sisi tunakwama wapi?

Ukiangalia bungeni wanawake ni 37%, hii haitoshi, maana kama wanawake wenye uwezo tunao, sasa kwanini tuna huu uwiano mbaya kwenye siasa? Ikiongezwa mpaka 50% italeta hamasa ya kushiriki na kupata mchango wao katika maendeleo ya nchi ambao kwa kiasi kikubwa unakosekana

Hili linaonesha kwenye vyama vya siasa hakuna jitihada za makusudi katika kuinua wanawake. Kwenye idadi ya watu wanawake na wanaume hatupishani sana, sasa kwa nini kuwe na gape kubwa sana linapokuja suala la kisiasa?

Wazee wa wanawake hawana uwezo blaa blaaa najua hamtakosa, kama ni hivyo kwanini tuna Rais mwanamke ambaye si tu anamalizia uongozi wake, yaani kaaminiwa tena kumalizia muhula wake wa pili?
😁😁😁😁😁😁😁...majuzi Dodoma nimeshuhudia mama mmoja akichambia bendera na katiba ya sisiemu na makada wanamshangilia waziwazi😁😁😁
 
Back
Top Bottom